The boss himself
New Member
- Jun 28, 2019
- 2
- 3
Poleni na kazi wadau,
Mungu atusaidie kupata zaidi katika miangaiko yetu ya kila siku. Mungu ni mwema nyakati zote, nikiwa kama kijana Nipo mwaka wa pili udsm katika familia wanandugu tumeuza jengo flani la mzee na kufanikiwa kugawana kila mmoja million 386.
Plan yangu kubwa ni kuwekeza katika majengo ya kupangisha, kwa heshima kubwa ya wadau mbalimbali mlio humu nilikua naomba mawazo yenu ni jinsi gani naweza fanikisha lengo langu na niwekeze hasa katika majengo ya aina gani na yatayonilipa pesa nzuli (niwekeze Dar, Kilimanjaro, Arusha au Dodoma)
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mungu atusaidie kupata zaidi katika miangaiko yetu ya kila siku. Mungu ni mwema nyakati zote, nikiwa kama kijana Nipo mwaka wa pili udsm katika familia wanandugu tumeuza jengo flani la mzee na kufanikiwa kugawana kila mmoja million 386.
Plan yangu kubwa ni kuwekeza katika majengo ya kupangisha, kwa heshima kubwa ya wadau mbalimbali mlio humu nilikua naomba mawazo yenu ni jinsi gani naweza fanikisha lengo langu na niwekeze hasa katika majengo ya aina gani na yatayonilipa pesa nzuli (niwekeze Dar, Kilimanjaro, Arusha au Dodoma)
Sent from my iPhone using JamiiForums