Iko poa kuna hawa jamaa wapo dsm maeneo ya k.koo na kwenye vyuo..wanatengeneza hela sana lita moja 200tsh.
Inahitaji location yenye mzunguko wa watu kama masokoni..stendi au vyuoni.
Kila jema.
#MaendeleoHayanaChama
Hapo hakuna jipya kuna ATM za maziwa na maji, nenda Moshi na Mazimbu-Morogoro utakuta. Ni ngumu bado haina tija kwa mazingira ya kibongo, watavunja na kuiba, bado kama ATM itahitaji mtu kuwepo hapo muda wote wa biashara
Nzuri si unawapelekea watu maji kama Dawasa au? Msambazaji wangu wa maji kakasirika kwa vile binti yake alikuwa anafungulia maji najaza tank bure akakata waya
Watu walishawekeza tayari mbona stendi ya Magufuli.Dar es salaam ,na sehemu kibao Dar zipoHabarini wanajamvi, nilikuwa na wazo la biashara ya maji maarufu kama Water ATM lakini sina taarifa sahihi juu ya biashara hii, hivyo basi kwa yeyote mwenye taarifa yoyote juu ya biashara hii usisite kushare nasi, karibuni wanajukwaa
ATM za bomba za maji ziko kibaoNzuri si unawapelekea watu maji kama Dawasa au? Msambazaji wangu wa maji kakasirika kwa vile binti yake alikuwa anafungulia maji najaza tank bure akakata waya
ATM za bomba za maji ziko kibaoNzuri si unawapelekea watu maji kama Dawasa au? Msambazaji wangu wa maji kakasirika kwa vile binti yake alikuwa anafungulia maji najaza tank bure akakata waya
Watu walishawekeza tayari mbona stendi ya Magufuli.Dar es salaam ,na sehemu kibao Dar zipo
Taarifa or Msaada gani unaitaji zaidi mleta mada? Za kibiashara or Technical (unataka kuwa nayo)
aah kumbe mabomba ya hivyo, huwa yanapigaga na mziki hivi inakuwa soundtrack kwa mchota maji😁ATM za bomba za maji ziko kibao
Mikoa mingi tu unatumbuliza hela unajaza ndoo au debe lako.Bila kutumbuliza hela kwenye ATM maji hayatoki kwenye bomba
Wajanja walishawahi Siku nyingi
Ujanja kuwahi ukiona fursa
Kama uko dar jarib kumwona anayefanya hivyo ndan ya kituo cha mawasiliano atakupa mwanga.Habarini wanajamvi, nilikuwa na wazo la biashara ya maji maarufu kama Water ATM lakini sina taarifa sahihi juu ya biashara hii, hivyo basi kwa yeyote mwenye taarifa yoyote juu ya biashara hii usisite kushare nasi, karibuni wanajukwaa