Biashara ya maji maarufu kama Water ATM

ATM za bomba za maji ziko kibao

Mikoa mingi tu unatumbuliza hela unawaza ndoo au debe lako

Wajanja walishawahi Siku nyingi

Ujanja kuwahi ukiona fursa
Mikoa gani kuna hizo mashine?

Naomba nitumie picha au video za hizo mashine nione zinavyofanya kazi, na wapi zinakouzwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…