M Mwanafalsafa Platinum Member Joined Jun 24, 2007 Posts 673 Reaction score 865 Feb 3, 2024 #21 YEHODAYA said: ATM za bomba za maji ziko kibao Mikoa mingi tu unatumbuliza hela unawaza ndoo au debe lako Wajanja walishawahi Siku nyingi Ujanja kuwahi ukiona fursa Click to expand... Mikoa gani kuna hizo mashine? Naomba nitumie picha au video za hizo mashine nione zinavyofanya kazi, na wapi zinakouzwa.
YEHODAYA said: ATM za bomba za maji ziko kibao Mikoa mingi tu unatumbuliza hela unawaza ndoo au debe lako Wajanja walishawahi Siku nyingi Ujanja kuwahi ukiona fursa Click to expand... Mikoa gani kuna hizo mashine? Naomba nitumie picha au video za hizo mashine nione zinavyofanya kazi, na wapi zinakouzwa.
M Mwanafalsafa Platinum Member Joined Jun 24, 2007 Posts 673 Reaction score 865 Feb 3, 2024 #22 Vontec said: Kama ni technical nicheki nikuunganishe na wataalamu wakutengenezee design unayoitaka Click to expand... Naomba contacts za hao wataalam aisee. Mi nataka ATM ya kuuza maji ya ndoo.
Vontec said: Kama ni technical nicheki nikuunganishe na wataalamu wakutengenezee design unayoitaka Click to expand... Naomba contacts za hao wataalam aisee. Mi nataka ATM ya kuuza maji ya ndoo.