Biashara ya maji ya Mecury

Biashara ya maji ya Mecury

NDO HIYO
images%20-%202020-04-23T101701.461.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa
Ila hii ya kitapeli wameitolea Red mercury kwamba inatiririka kutoka kwenye miamba na dau lake ni $1.8m kwa kg
Kuna watu wanapigwa mpaka anajiuliza hivi nimerogwa
Ila mwanzo huwa wabishi ukiwaambiwa ni utapeli
Mpaka aingie na kuibiwa na ushirikina juu, akimaliziwa hela ndio akili aliyoisahau anaanza kuitumia[emoji23]


Sent from my iPhone using Tapatalk
Mercury nyekundu n utapeli mtupu tena upuuzi uliotukuka ....mercury y kawaida hiwa yatumika migodini ili kukamatisha dhahabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna liquid mercury ambayo Ina rangi ya silver
Hiyo inatumika hata kwenye kutengeneza thermometers na bei yake ni ndogo sana
Ila hii sasa ambayo watu wanasema kuipata eti mpaka makafara na wengi wanadanganywa ni RED MERCURY ambayo haipo kabisa duniani FACT
Hii habari ilianza 1979
Na Kg moja walisema ni $300,000 ukiipata na wengi walipigwa miaka hiyo
Sasa Mkuu leo 2020 bado watu wanapigwa

Red imetokana na Soviet Union wakati huo
Na wanoko wakasema inatumika kutengeneza nuclear [emoji3518]
Jisomee kidogo Red liquid mercury utajua mengi
Maana dau waliambiwa watu limepanda na kufika $1.8m kwa kilogram View attachment 1427292


Sent from my iPhone using Tapatalk
Na kweli niliiona kwa macho yangu ina rangi kama juice ya karoti au rangi ya mbegu la parachichi. Na mpaka sasa kuna watu bado wanadanganywwa mi jamaa yangu aliuza hadi kiwanja akaambiwa soko lake ni juu mno kuna wazee walimdanganya mpaka sasa sijui alienda nao wapi na sijui kama yuko hai au mfu maana alipotea mazima na familia aliitelekeza
 
Na kweli niliiona kwa macho yangu ina rangi kama juice ya karoti au rangi ya mbegu la parachichi. Na mpaka sasa kuna watu bado wanadanganywwa mi jamaa yangu aliuza hadi kiwanja akaambiwa soko lake ni juu mno kuna wazee walimdanganya mpaka sasa sijui alienda nao wapi na sijui kama yuko hai au mfu maana alipotea mazima na familia aliitelekeza

Daa inasikitisha sana imagine tamaa imemfanya na familia aikimbie
Dunia hii Ina mengi aisee


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Na kweli niliiona kwa macho yangu ina rangi kama juice ya karoti au rangi ya mbegu la parachichi. Na mpaka sasa kuna watu bado wanadanganywwa mi jamaa yangu aliuza hadi kiwanja akaambiwa soko lake ni juu mno kuna wazee walimdanganya mpaka sasa sijui alienda nao wapi na sijui kama yuko hai au mfu maana alipotea mazima na familia aliitelekeza
Kuna ndugu yangu amenishirikisha kuhusu hii biashara, kwa bahati nzuri katika pitapita nikakutana na huu uzi nimejaribu kwa kila namna kumwambia kuwa hiyo biashara ni utapeli amekataa kunielewa.
Amenisihi sana nisimwambie mtu yoyote. Nafikiria nikikaa kimya yakampata matatizo kama ya huyo jamaa yako si nitakua nimekosea sana?
Kesho (26/4) ndo ana mpango wa kusafiri kufuata hizo mercury zake.
Stor zake ni kuwa milionea tu hahah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa
Ila hii ya kitapeli wameitolea Red mercury kwamba inatiririka kutoka kwenye miamba na dau lake ni $1.8m kwa kg
Kuna watu wanapigwa mpaka anajiuliza hivi nimerogwa
Ila mwanzo huwa wabishi ukiwaambiwa ni utapeli
Mpaka aingie na kuibiwa na ushirikina juu, akimaliziwa hela ndio akili aliyoisahau anaanza kuitumia[emoji23]


Sent from my iPhone using Tapatalk
Hakuna mecury inayotiririka yenye kipimo cha kg bali tuna gm
 
Nawatakia mwisho ulio mwema[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Daa inasikitisha sana imagine tamaa imemfanya na familia aikimbie
Dunia hii Ina mengi aisee


Sent from my iPhone using Tapatalk
shiad siyo Biashara shida hapo ni yeye kutokuwa na uelewa sahihi nakile alichoambiwa.
Wanayotafuta watu na ambayo ni hoax ni red mercury na ndio wanasema ukipata unauza kilo unanunua nyumba za mji mzima
emoji28.png



Sent from my iPhone using Tapatalk
Red na Black ndiyo hupatikana sana lakini nyingine hazisemwi kwa kuwa ni isssue sana hata Kuipata na huwa dau lake lipo Juu zaidi.
Mkuu kuna liquid mercury ambayo Ina rangi ya silver
Hiyo inatumika hata kwenye kutengeneza thermometers na bei yake ni ndogo sana
Ila hii sasa ambayo watu wanasema kuipata eti mpaka makafara na wengi wanadanganywa ni RED MERCURY ambayo haipo kabisa duniani FACT
Hii habari ilianza 1979
Na Kg moja walisema ni $300,000 ukiipata na wengi walipigwa miaka hiyo
Sasa Mkuu leo 2020 bado watu wanapigwa

Red imetokana na Soviet Union wakati huo
Na wanoko wakasema inatumika kutengeneza nuclear
emoji3518.png

Jisomee kidogo Red liquid mercury utajua mengi
Maana dau waliambiwa watu limepanda na kufika $1.8m kwa kilogram View attachment 1427292


Sent from my iPhone using Tapatalk
Kuwepo ipo ila siyo rahisi kama wengi wafikiriavyo na ina kazi nyingi sana.
Kuyapata ni ishu sana hivi hivi bila kafara ya kondoo alienona ni ngumu.
Mara ya mwisho kuyaona kuna jamaa kama 4 hivi walikuja hawajui kiswahili ila mwenyeji wao mmoja ndio alikuwa nao anaongea kiswahili walikuwa nayo kwa kweli wakikuwa kika mmoja ana kama nusu lita kwenye kopo kila mtu yake walikuwa wameyasiliba kwa kuyafunika kwenye mikoba yenye nguo zao haki ya mungu kuyafunua ile harufu sijawahi sikia kitu chenye harufu ile tangu napata akili.kilicho nishangaza yale maji jamaa (mwenyeji wao)aliyapima mbele yangu kwa kuingiza( tester)ile ya kupimia umeme na akasema sio yenyewe hayo maji maana ingekuwa ni yale yenyewe eti ile tester ingewaka.
Hapo ndipo nilipopatwa na mshtuko kidogo eti kuna ukweli wowote?
Yanaweza sana yalikuwa ni yenyewe ila yeye alikuja na kipimo cha maji ya Zilcon
Hii ni ya kiwanda mkuu
 
Jamani naona watu kibao wanaparangana kutafuta haya maji ya mwamba. Sasa naomba kuuliza, pia mmoja ama kama kunamtu anaconnection ya uhakika ya soko la hii kitu naomba tutafutane.

Kama wewe nitapel usihangaike, nahitaji watu wa ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu!
Kama Una uhakika kuwa Mercury yako ni Pure Red na Iko active japo 50%+ then Karibu, Mimi Ninao Wateja wa uhakika, Wazungu wanaishi nje....!

Muhimu iwe Pure Natural sio fake wala ya Kiwandani!
 
Mkuu!
Kama Una uhakika kuwa Mercury yako ni Pure Red na Iko active japo 50%+ then Karibu, Mimi Ninao Wateja wa uhakika, Wazungu wanaishi nje....!

Muhimu iwe Pure Natural sio fake wala ya Kiwandani!
Ushauri tumia kampumi ya ndani yenye kibali wale watokao nje huwa hawalipi kodi maana wanakuja na tourist visa na siyo bussness na hapo kuna hatari ya kulipwa hela fake.

Na kama hawalipi kodi basi pesa ikiingia kwenyw account inazuiliwa na hawawezi kulipa kodi hawana vibali kufanya biashara hiyo hapa ndani
 
Ushauri tumia kampumi ya ndani yenye kibali wale watokao nje huwa hawalipi kodi maana wanakuja na tourist visa na siyo bussness na hapo **** hatar ya kulipwa hela fake.na kama hawalipi kodi basi pesa ikiingia kwenyw account inazuiliwa na hawawezi kulipa kodi hawana vibali kufanya biashara hiyo hapa ndani
Kampuni za Ndani Zipo Kenya Mkuu!
Tanzania kuna Kampuni zipi za ndani!?
Zaidi Mlolongo wa middle Men ambao wamesababisha hii biashara iwe Hivi leo!?

Kuwataperi watu iwe kwa kawaida wakishindwa hata kutumia Bunduki!

Leo hii Maneno yote yanaosemwa juu ya hii Business yamesababishwa na hao so called Internal buyers hasa na Madalali Zao!
Sijui kama unafahamu Malalamiko ya baadhi ya seller ambayo waliingiziwa pesa Bank ki halali but Serikali imezuia pesa zao!

Deal ni Kuuza Cash then kila mtu anaenda Kufa na mzigo wake, mnaweza mkawa na Machine ya kuhesabia pesa..... Ika detect fake money....

Wapo watu wamelipwa pesa fake za Kibongo na Buyers wa ndani hao unaosema Wana Vibari....
 
Kampuni za Ndani Zipo Kenya Mkuu!
Tanzania kuna Kampuni zipi za ndani!?
Zaidi Mlolongo wa middle Men ambao wamesababisha hii biashara iwe Hivi leo!?

Kuwataperi watu iwe kwa kawaida wakishindwa hata kutumia Bunduki!

Leo hii Maneno yote yanaosemwa juu ya hii Business yamesababishwa na hao so called Internal buyers hasa na Madalali Zao!
Sijui kama unafahamu Malalamiko ya baadhi ya seller ambayo waliingiziwa pesa Bank ki halali but Serikali imezuia pesa zao!

Deal ni Kuuza Cash then kila mtu anaenda Kufa na mzigo wake, mnaweza mkawa na Machine ya kuhesabia pesa..... Ika detect fake money....

Wapo watu wamelipwa pesa fake za Kibongo na Buyers wa ndani hao unaosema Wana Vibari....
Ipo moja tu Mzee kenya hakuna kampuni wale wanatumia mpaka mawakili ambao ni matapeli tumzee nimepita huko,hiyo kuingiziwa pesa benk na kuzuiliwa issue ni kuwa hao walioingiza hela hawana vibali vya biashara hiyao ndani ya taifa nakusaidia kitu kwenye inbox yako
 
Kampuni za Ndani Zipo Kenya Mkuu!
Tanzania kuna Kampuni zipi za ndani!?
Zaidi Mlolongo wa middle Men ambao wamesababisha hii biashara iwe Hivi leo!?

Kuwataperi watu iwe kwa kawaida wakishindwa hata kutumia Bunduki!

Leo hii Maneno yote yanaosemwa juu ya hii Business yamesababishwa na hao so called Internal buyers hasa na Madalali Zao!
Sijui kama unafahamu Malalamiko ya baadhi ya seller ambayo waliingiziwa pesa Bank ki halali but Serikali imezuia pesa zao!

Deal ni Kuuza Cash then kila mtu anaenda Kufa na mzigo wake, mnaweza mkawa na Machine ya kuhesabia pesa..... Ika detect fake money....

Wapo watu wamelipwa pesa fake za Kibongo na Buyers wa ndani hao unaosema Wana Vibari....
sidhani kwa ninao ongelea mimi kama ni hao uliokutana nao wewe ndani ya Hotel
 
Mkuu!
Kama Una uhakika kuwa Mercury yako ni Pure Red na Iko active japo 50%+ then Karibu, Mimi Ninao Wateja wa uhakika, Wazungu wanaishi nje....!

Muhimu iwe Pure Natural sio fake wala ya Kiwandani!
Powder naona PM yako iko limited. Naomba uni PM kuhusiana na hili jambo kwenye uzi.
 
Back
Top Bottom