Biashara ya Makeup inahitaji vitu gani vya Msingi?

Biashara ya Makeup inahitaji vitu gani vya Msingi?

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Wakuu naombeni ushauri mzuri wa kufanya hii Biashara nataka kufungua sasa.

1. Wapi ntapata makeup set nzuri kwa gharama nafuu.

2. Vitu gani niweke ili kunogesha Biashara yangu?

Mimi ndo kwanza naingia sokoni kuanza hiyo Biashara.
 
1. inadepend na eneo ulilopo kama uko sehemu wanataka makeup za 10k na 5k sijui basi nenda kariakoo kama upo dar nunua zako huko au agiza bag la kila kitu tiffany mke wa diba anauzaga 150k kama sio 300k

kama unaowapaka wanapenda makeup classic bei sio shida zao ninua product nzuri zile zisizochuja kipenzi

au kama mtaji unaruhusu weka zote


2. make sure una kasehemu kaziri kwa ajili ya pili, Ring light kwa ajili ya quality, kiti kizuri simu yenye quality nzuri

na kama ni makeup studio kabisa basi weka kabisa kijana maalum wa picha
 
1. inadepend na eneo ulilopo kama uko sehemu wanataka makeup za 10k na 5k sijui basi nenda kariakoo kama upo dar nunua zako huko au agiza bag la kila kitu tiffany mke wa diba anauzaga 150k kama sio 300k

kama unaowapaka wanapenda makeup classic bei sio shida zao ninua product nzuri zile zisizochuja kipenzi

au kama mtaji unaruhusu weka zote


2. make sure una kasehemu kaziri kwa ajili ya pili, Ring light kwa ajili ya quality, kiti kizuri simu yenye quality nzuri

na kama ni makeup studio kabisa basi weka kabisa kijana maalum wa picha
Asante sana sana 🙏
 
Back
Top Bottom