Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi mkuu, Sijakuelewa..??Kwenye hii bznes kua makini ukisikia kuna mzungu tu.kaa kimichezo.
Asante Sana 🤗🤗 nimefarijikaMazuri Sana.
Mkuu unauzaje rejareja?Hivi soko/duka la biashara hii ya seashells (makome) hupatikana Wapi kwa hapa Dar es salaam/Zanzibar.?
Lakini pia
✓Je inahitaji kibali cha kukusanya/kusafirisha?
✓Wapi ninaweza kuuza kwa jumla/rejareja?
Karibuni kuchangia wakuu.
View attachment 2717547View attachment 2717548
Elfu tatu 3,000/=Mkuu unauzaje rejarej
Mkuu unauzaje rejareja?
ELFU TATU 3,000/=Mkuu unauzaje rejareja?
Mkuu futa hii thread andika nyingine ukisema makome bahari ukisaga unga wake yanaongeza nguvu za kiume kwa kuwa yana omega 3 ya kutosha ndani ya mwezi usinisahau mkuu haina tofauti na watu wanavyofakamia MWANI
Angalia DMElfu tatu 3,000/=
Sawa mkuuAngalia DM
inagoma kufungukaAngalia DM
Sawa mkuu
HaifutikiMkuu futa hii thread andika nyingine ukisema makome bahari ukisaga unga wake yanaongeza nguvu za kiume kwa kuwa yana omega 3 ya kutosha ndani ya mwezi usinisahau mkuu haina tofauti na watu wanavyofakamia MWANI
Inategemea na aina, sorry nilijibu kimakosaElfu tatu 3,000/=