Biashara ya makopo na machupa ya maji

Biashara ya makopo na machupa ya maji

fredj2

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
235
Reaction score
93
Ndugu wanajamvi, heshima kwenu.

Nataka kujiingiza kwenye hii biashara ya kununua machupa na kuuza kiwandani.

Kwa wale wanaofanya au waliofanya nipeni dondoo ya hii biashara.

Bei ya kununulia kutoka kwa waokotaji na bei ya kuuza kiwandani.

Kwa nilipo nimeona hii fursa.


Tusaidiane kujenga nchi ya viwanda.
 
Hapo itabidi uwe na mashine ya kuzisaga, chenga chenga ndo utauza
 
Back
Top Bottom