Habarini za leo wadau!
Nimepata wazo la biashara, nataka nikodi frem nifungue mgahawa, nafikiria kumtafuta mama yeyote ili aniendeshee, yani namuanzishia kila kitu halafu yeye anaendelea.
Nataka nikubaliane nae awe ananipa kiasi fulani cha faida tu aidha kwa siku au kwa wiki. Basi wadau naomba wenye uzoefu na hii biashara au changamoto zozote tushirikishane!
Mtaji wangu ni laki saba. 700,000/=
Nimepata wazo la biashara, nataka nikodi frem nifungue mgahawa, nafikiria kumtafuta mama yeyote ili aniendeshee, yani namuanzishia kila kitu halafu yeye anaendelea.
Nataka nikubaliane nae awe ananipa kiasi fulani cha faida tu aidha kwa siku au kwa wiki. Basi wadau naomba wenye uzoefu na hii biashara au changamoto zozote tushirikishane!
Mtaji wangu ni laki saba. 700,000/=