Biashara ya mashudu ya alizeti kwa wanaofuga

Mangandula

Senior Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
184
Reaction score
37
Haya wanajamvi nipo mbioni kufunga mashine ya kukamua mafuta ya alizeti maeneo ya Makambako ktk mkoa mpya wa njombe, Kwa wale wanaohitaji mafuta ya alizeti na wafugaji wanaohitaji mashudu ya alizeti wanitafute tufanye biashara.
 
-mkuu hiyo kitu inatafutwa sana huko kenya, na inatumika kutengenezea breakshoose za gari.
 
Nashukuru mkuu, je unajuwa wananunua bei gani kwa kila kilo 1?
 
Nitafanya mawasiliano na watu fulani wa BABATI MANYARA THENI NITAKUAMBIA
 
Haya wanajamvi nipo mbioni kufunga mashine ya kukamua mafuta ya alizeti maeneo ya Makambako ktk mkoa mpya wa njombe, Kwa wale wanaohitaji mafuta ya alizeti na wafugaji wanaohitaji mashudu ya alizeti wanitafute tufanye biashara.
Kweli mashudu ni biashara nzuri.Je umejipanga vizuri kupambana na ushindani wa viwanda vya jinsi hiyo hapo MaKambako? Mwakajuzi kulikuwa na viwanda nane vya kukamua alizeti, unaonaje ukisogea pale Wanging`ombe au Ilembula kabisa kwa wakulima waliko,Ilembula umeme upo na barabara ni ya lami. ni wazo tu mkuu wangu.
 
Na Me pia nauza mashudu ya alizeti nipo Songea anayehitaji kiasi chochote tuwasiliane
 
Sasa
Haya wanajamvi nipo mbioni kufunga mashine ya kukamua mafuta ya alizeti maeneo ya Makambako ktk mkoa mpya wa njombe, Kwa wale wanaohitaji mafuta ya alizeti na wafugaji wanaohitaji mashudu ya alizeti wanitafute tufanye biashara.

Sasa biashara yenyewe hujaanza,
hujafahamu utazalisha kiasi gani
Hujaeleza utauza kwa kiasi gani kwa bei gani
Sasa unasema tukutafute ili tufanye biashara, sasa tufanye biashra gani wakati wewe mwenyewe hujaanza hiyo bishara.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…