Mangandula
Senior Member
- Nov 30, 2011
- 184
- 37
Haya wanajamvi nipo mbioni kufunga mashine ya kukamua mafuta ya alizeti maeneo ya Makambako ktk mkoa mpya wa njombe, Kwa wale wanaohitaji mafuta ya alizeti na wafugaji wanaohitaji mashudu ya alizeti wanitafute tufanye biashara.