Biashara ya matunda imemtandika mpenzi wangu vikali

Biashara ya matunda imemtandika mpenzi wangu vikali

sasa badala ya kukaa umshauri mpenzi wako nini cha kufanya unakuja kuleta ujuaji hapa, yaani wabongo ni watu wa hovyo sana.
 
Kiufupi kala loss ya ajabu kuwahi kuwepo duniani

Kadamkia matunda ya Tsh. 30k Mabibo, kayakata kata yote ili atengeneze dry fruti. Kafungasha take away 50, lakini hakupata wateja kabisa. Matunda yangeharibika. Kanipigia simu huku analia na kuniambia tayari keshawagawia majirani

Other Cost apart from hiyo 30k ambayo mtakuja kunisemelea kuwa nayo ni hela? Deli la kubebea mzigo, gharama ya vifungashio, beseni na ndoo maalumu za kufanyia maandalizi n.k ~ 60k or more

Huenda hakuyajua haya:
(i) Market. Mahala pa kuyauzia. Aelekee chimbo lipi ambalo walaji wa mchanganyiko huo wa matunda (dry fruity) ni wengi? Je, watu wenye nyazifa ipi ama biashara zipi hupendelea kutumia mchanhanyiko huu. Je, ni madereva wa daladala? Abiria kwenye mastendi? Wakazi wa Kariakoo? Wahindi madukani? e.t.c

(ii) Uandaaji. Labda kuna namna ambavyo inatakiwa kuwa ili kuwavutia wateja. Vipande viwe vikubwa sana? Iwe na ubaridi?

(iii) Mauzo. Bei ya mauzo iwe vipi ili kumsatisfy kila mtanzania? Iwe 1,000 kwa kila kontena? Vipi kuhusu kontena baada ya ulaji hasa hasa maeneo changanyikeni? Vipi kama akipima kidogo mchanganyiko wa 500, utamlipa?

(iv) Muda. Matunda huliwa sana muda gani? Je ni asubuhi? Ni mchana? Ni jioni? Kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi?

Na mengine mengi. Ushauri wako ni muhimu sana, hautomsaidia tu mpenzi wangu, bali members wengine na kizazi cha kesho kwa ujumla. Ahsanteni...
Ushauri mzuri aachane na wewe masking unaeshindwa kumpa mtaji wa duka unampa mtaji wa matundaaa azunguuuuushe weeee mpk miguu iote vigimbi,mwambie atafite mwanaume mwenye pesa
 
Ushauri mzuri aachane na wewe masking unaeshindwa kumpa mtaji wa duka unampa mtaji wa matundaaa azunguuuuushe weeee mpk miguu iote vigimbi,mwambie atafite mwanaume mwenye pesa
Sawa kabisa, atafute bwana mwenye hela. Pumbavu zake
 
Kiufupi kala loss ya ajabu kuwahi kuwepo duniani

Kadamkia matunda ya Tsh. 30k Mabibo, kayakata kata yote ili atengeneze dry fruti. Kafungasha take away 50, lakini hakupata wateja kabisa. Matunda yangeharibika. Kanipigia simu huku analia na kuniambia tayari keshawagawia majirani

Other Cost apart from hiyo 30k ambayo mtakuja kunisemelea kuwa nayo ni hela? Deli la kubebea mzigo, gharama ya vifungashio, beseni na ndoo maalumu za kufanyia maandalizi n.k ~ 60k or more

Huenda hakuyajua haya:
(i) Market. Mahala pa kuyauzia. Aelekee chimbo lipi ambalo walaji wa mchanganyiko huo wa matunda (dry fruity) ni wengi? Je, watu wenye nyazifa ipi ama biashara zipi hupendelea kutumia mchanhanyiko huu. Je, ni madereva wa daladala? Abiria kwenye mastendi? Wakazi wa Kariakoo? Wahindi madukani? e.t.c

(ii) Uandaaji. Labda kuna namna ambavyo inatakiwa kuwa ili kuwavutia wateja. Vipande viwe vikubwa sana? Iwe na ubaridi?

(iii) Mauzo. Bei ya mauzo iwe vipi ili kumsatisfy kila mtanzania? Iwe 1,000 kwa kila kontena? Vipi kuhusu kontena baada ya ulaji hasa hasa maeneo changanyikeni? Vipi kama akipima kidogo mchanganyiko wa 500, utamlipa?

(iv) Muda. Matunda huliwa sana muda gani? Je ni asubuhi? Ni mchana? Ni jioni? Kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi?

Na mengine mengi. Ushauri wako ni muhimu sana, hautomsaidia tu mpenzi wangu, bali members wengine na kizazi cha kesho kwa ujumla. Ahsanteni...
Huyo angepita kwanza kuchukua oda kabla hajauza hasa maeneo ya stendi au soko
 
Kiufupi kala loss ya ajabu kuwahi kuwepo duniani

Kadamkia matunda ya Tsh. 30k Mabibo, kayakata kata yote ili atengeneze dry fruti. Kafungasha take away 50, lakini hakupata wateja kabisa. Matunda yangeharibika. Kanipigia simu huku analia na kuniambia tayari keshawagawia majirani

Other Cost apart from hiyo 30k ambayo mtakuja kunisemelea kuwa nayo ni hela? Deli la kubebea mzigo, gharama ya vifungashio, beseni na ndoo maalumu za kufanyia maandalizi n.k ~ 60k or more

Huenda hakuyajua haya:
(i) Market. Mahala pa kuyauzia. Aelekee chimbo lipi ambalo walaji wa mchanganyiko huo wa matunda (dry fruity) ni wengi? Je, watu wenye nyazifa ipi ama biashara zipi hupendelea kutumia mchanhanyiko huu. Je, ni madereva wa daladala? Abiria kwenye mastendi? Wakazi wa Kariakoo? Wahindi madukani? e.t.c

(ii) Uandaaji. Labda kuna namna ambavyo inatakiwa kuwa ili kuwavutia wateja. Vipande viwe vikubwa sana? Iwe na ubaridi?

(iii) Mauzo. Bei ya mauzo iwe vipi ili kumsatisfy kila mtanzania? Iwe 1,000 kwa kila kontena? Vipi kuhusu kontena baada ya ulaji hasa hasa maeneo changanyikeni? Vipi kama akipima kidogo mchanganyiko wa 500, utamlipa?

(iv) Muda. Matunda huliwa sana muda gani? Je ni asubuhi? Ni mchana? Ni jioni? Kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi?

Na mengine mengi. Ushauri wako ni muhimu sana, hautomsaidia tu mpenzi wangu, bali members wengine na kizazi cha kesho kwa ujumla. Ahsanteni...
Kabla ya kugawia majiran. Angetengeneza Juice kwa kutumia hayo hayo matunda. Na kuweka kwenye Chupa za juice kama Afya. Ma kwenda tena kuuza kesho yake
 
The higher the risk the higher the return and vice versa.

Niliwahi peleka fuso porini kukusanya viazi yule dereva na utingo wake na mwanamke wangu pamoja na mfanyakazi wangu aliyepokea mzigo walikosa akili kabisa.

mvua iliteremka tokea wanapakia mpaka wanakuja dom hawakufunika turubai kabisa. Ile kufika wakaweka stoo hivyo hivyo na mwanamke akarelax pamoja na kibarua wanabaki kuchezea tuu simu na kuchekacheka tiktok

Nakuja kufika dom nakuta gunia zilizo letwa gunia 45 zote zilikua hakuna viazi vyote ni urojo na vinaambukizana kwa kasi yani vimeiva na vingine vinaota .mwanamke karelax na mwambia kulikoni hivi anabaki anashtuka shtuka tuu nikasema nizuie hasira hasara roho pesa makaratasi ase tulichimba kaburi la pamoja la kuzika viazi.

Nilipata hasara sana ila sikukoma na mwishowe ile hasara niliisahau kabisa
 
Kiufupi kala loss ya ajabu kuwahi kuwepo duniani

Kadamkia matunda ya Tsh. 30k Mabibo, kayakata kata yote ili atengeneze dry fruti. Kafungasha take away 50, lakini hakupata wateja kabisa. Matunda yangeharibika. Kanipigia simu huku analia na kuniambia tayari keshawagawia majirani

Other Cost apart from hiyo 30k ambayo mtakuja kunisemelea kuwa nayo ni hela? Deli la kubebea mzigo, gharama ya vifungashio, beseni na ndoo maalumu za kufanyia maandalizi n.k ~ 60k or more

Huenda hakuyajua haya:
(i) Market. Mahala pa kuyauzia. Aelekee chimbo lipi ambalo walaji wa mchanganyiko huo wa matunda (dry fruity) ni wengi? Je, watu wenye nyazifa ipi ama biashara zipi hupendelea kutumia mchanhanyiko huu. Je, ni madereva wa daladala? Abiria kwenye mastendi? Wakazi wa Kariakoo? Wahindi madukani? e.t.c

(ii) Uandaaji. Labda kuna namna ambavyo inatakiwa kuwa ili kuwavutia wateja. Vipande viwe vikubwa sana? Iwe na ubaridi?

(iii) Mauzo. Bei ya mauzo iwe vipi ili kumsatisfy kila mtanzania? Iwe 1,000 kwa kila kontena? Vipi kuhusu kontena baada ya ulaji hasa hasa maeneo changanyikeni? Vipi kama akipima kidogo mchanganyiko wa 500, utamlipa?

(iv) Muda. Matunda huliwa sana muda gani? Je ni asubuhi? Ni mchana? Ni jioni? Kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi?

Na mengine mengi. Ushauri wako ni muhimu sana, hautomsaidia tu mpenzi wangu, bali members wengine na kizazi cha kesho kwa ujumla. Ahsanteni...
Lakini kwanini unetuletea jukwaa la mapenzi tuanzie hapo ?

Wewe na mpenzi wako shida kweli 30K ni mtaji wa biashara kweli.
 
Mod Cookie ,peleka uzi huu jukwaa la biashara, humu MMU watu wanajibu kimahaba mahaba sana

Hakuna nilichoambulia...
 
Back
Top Bottom