Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio maana nimeleta uzi huku ili mnipatie mawazo nijue anaanzia wapi, amalizie wapisasa badala ya kukaa umshauri mpenzi wako nini cha kufanya unakuja kuleta ujuaji hapa, yaani wabongo ni watu wa hovyo sana.
Mbona kama majibu au hadidu za rejea umeshaeleza kwenye uzi wako?Na ndio maana nimeleta uzi huku ili mnipatie mawazo nijue anaanzia wapi, amalizie wapi
Ushauri mzuri aachane na wewe masking unaeshindwa kumpa mtaji wa duka unampa mtaji wa matundaaa azunguuuuushe weeee mpk miguu iote vigimbi,mwambie atafite mwanaume mwenye pesaKiufupi kala loss ya ajabu kuwahi kuwepo duniani
Kadamkia matunda ya Tsh. 30k Mabibo, kayakata kata yote ili atengeneze dry fruti. Kafungasha take away 50, lakini hakupata wateja kabisa. Matunda yangeharibika. Kanipigia simu huku analia na kuniambia tayari keshawagawia majirani
Other Cost apart from hiyo 30k ambayo mtakuja kunisemelea kuwa nayo ni hela? Deli la kubebea mzigo, gharama ya vifungashio, beseni na ndoo maalumu za kufanyia maandalizi n.k ~ 60k or more
Huenda hakuyajua haya:
(i) Market. Mahala pa kuyauzia. Aelekee chimbo lipi ambalo walaji wa mchanganyiko huo wa matunda (dry fruity) ni wengi? Je, watu wenye nyazifa ipi ama biashara zipi hupendelea kutumia mchanhanyiko huu. Je, ni madereva wa daladala? Abiria kwenye mastendi? Wakazi wa Kariakoo? Wahindi madukani? e.t.c
(ii) Uandaaji. Labda kuna namna ambavyo inatakiwa kuwa ili kuwavutia wateja. Vipande viwe vikubwa sana? Iwe na ubaridi?
(iii) Mauzo. Bei ya mauzo iwe vipi ili kumsatisfy kila mtanzania? Iwe 1,000 kwa kila kontena? Vipi kuhusu kontena baada ya ulaji hasa hasa maeneo changanyikeni? Vipi kama akipima kidogo mchanganyiko wa 500, utamlipa?
(iv) Muda. Matunda huliwa sana muda gani? Je ni asubuhi? Ni mchana? Ni jioni? Kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi?
Na mengine mengi. Ushauri wako ni muhimu sana, hautomsaidia tu mpenzi wangu, bali members wengine na kizazi cha kesho kwa ujumla. Ahsanteni...
Sawa kabisa, atafute bwana mwenye hela. Pumbavu zakeUshauri mzuri aachane na wewe masking unaeshindwa kumpa mtaji wa duka unampa mtaji wa matundaaa azunguuuuushe weeee mpk miguu iote vigimbi,mwambie atafite mwanaume mwenye pesa
Huyo angepita kwanza kuchukua oda kabla hajauza hasa maeneo ya stendi au sokoKiufupi kala loss ya ajabu kuwahi kuwepo duniani
Kadamkia matunda ya Tsh. 30k Mabibo, kayakata kata yote ili atengeneze dry fruti. Kafungasha take away 50, lakini hakupata wateja kabisa. Matunda yangeharibika. Kanipigia simu huku analia na kuniambia tayari keshawagawia majirani
Other Cost apart from hiyo 30k ambayo mtakuja kunisemelea kuwa nayo ni hela? Deli la kubebea mzigo, gharama ya vifungashio, beseni na ndoo maalumu za kufanyia maandalizi n.k ~ 60k or more
Huenda hakuyajua haya:
(i) Market. Mahala pa kuyauzia. Aelekee chimbo lipi ambalo walaji wa mchanganyiko huo wa matunda (dry fruity) ni wengi? Je, watu wenye nyazifa ipi ama biashara zipi hupendelea kutumia mchanhanyiko huu. Je, ni madereva wa daladala? Abiria kwenye mastendi? Wakazi wa Kariakoo? Wahindi madukani? e.t.c
(ii) Uandaaji. Labda kuna namna ambavyo inatakiwa kuwa ili kuwavutia wateja. Vipande viwe vikubwa sana? Iwe na ubaridi?
(iii) Mauzo. Bei ya mauzo iwe vipi ili kumsatisfy kila mtanzania? Iwe 1,000 kwa kila kontena? Vipi kuhusu kontena baada ya ulaji hasa hasa maeneo changanyikeni? Vipi kama akipima kidogo mchanganyiko wa 500, utamlipa?
(iv) Muda. Matunda huliwa sana muda gani? Je ni asubuhi? Ni mchana? Ni jioni? Kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi?
Na mengine mengi. Ushauri wako ni muhimu sana, hautomsaidia tu mpenzi wangu, bali members wengine na kizazi cha kesho kwa ujumla. Ahsanteni...
Kabla ya kugawia majiran. Angetengeneza Juice kwa kutumia hayo hayo matunda. Na kuweka kwenye Chupa za juice kama Afya. Ma kwenda tena kuuza kesho yakeKiufupi kala loss ya ajabu kuwahi kuwepo duniani
Kadamkia matunda ya Tsh. 30k Mabibo, kayakata kata yote ili atengeneze dry fruti. Kafungasha take away 50, lakini hakupata wateja kabisa. Matunda yangeharibika. Kanipigia simu huku analia na kuniambia tayari keshawagawia majirani
Other Cost apart from hiyo 30k ambayo mtakuja kunisemelea kuwa nayo ni hela? Deli la kubebea mzigo, gharama ya vifungashio, beseni na ndoo maalumu za kufanyia maandalizi n.k ~ 60k or more
Huenda hakuyajua haya:
(i) Market. Mahala pa kuyauzia. Aelekee chimbo lipi ambalo walaji wa mchanganyiko huo wa matunda (dry fruity) ni wengi? Je, watu wenye nyazifa ipi ama biashara zipi hupendelea kutumia mchanhanyiko huu. Je, ni madereva wa daladala? Abiria kwenye mastendi? Wakazi wa Kariakoo? Wahindi madukani? e.t.c
(ii) Uandaaji. Labda kuna namna ambavyo inatakiwa kuwa ili kuwavutia wateja. Vipande viwe vikubwa sana? Iwe na ubaridi?
(iii) Mauzo. Bei ya mauzo iwe vipi ili kumsatisfy kila mtanzania? Iwe 1,000 kwa kila kontena? Vipi kuhusu kontena baada ya ulaji hasa hasa maeneo changanyikeni? Vipi kama akipima kidogo mchanganyiko wa 500, utamlipa?
(iv) Muda. Matunda huliwa sana muda gani? Je ni asubuhi? Ni mchana? Ni jioni? Kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi?
Na mengine mengi. Ushauri wako ni muhimu sana, hautomsaidia tu mpenzi wangu, bali members wengine na kizazi cha kesho kwa ujumla. Ahsanteni...
Lakini kwanini unetuletea jukwaa la mapenzi tuanzie hapo ?Kiufupi kala loss ya ajabu kuwahi kuwepo duniani
Kadamkia matunda ya Tsh. 30k Mabibo, kayakata kata yote ili atengeneze dry fruti. Kafungasha take away 50, lakini hakupata wateja kabisa. Matunda yangeharibika. Kanipigia simu huku analia na kuniambia tayari keshawagawia majirani
Other Cost apart from hiyo 30k ambayo mtakuja kunisemelea kuwa nayo ni hela? Deli la kubebea mzigo, gharama ya vifungashio, beseni na ndoo maalumu za kufanyia maandalizi n.k ~ 60k or more
Huenda hakuyajua haya:
(i) Market. Mahala pa kuyauzia. Aelekee chimbo lipi ambalo walaji wa mchanganyiko huo wa matunda (dry fruity) ni wengi? Je, watu wenye nyazifa ipi ama biashara zipi hupendelea kutumia mchanhanyiko huu. Je, ni madereva wa daladala? Abiria kwenye mastendi? Wakazi wa Kariakoo? Wahindi madukani? e.t.c
(ii) Uandaaji. Labda kuna namna ambavyo inatakiwa kuwa ili kuwavutia wateja. Vipande viwe vikubwa sana? Iwe na ubaridi?
(iii) Mauzo. Bei ya mauzo iwe vipi ili kumsatisfy kila mtanzania? Iwe 1,000 kwa kila kontena? Vipi kuhusu kontena baada ya ulaji hasa hasa maeneo changanyikeni? Vipi kama akipima kidogo mchanganyiko wa 500, utamlipa?
(iv) Muda. Matunda huliwa sana muda gani? Je ni asubuhi? Ni mchana? Ni jioni? Kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi?
Na mengine mengi. Ushauri wako ni muhimu sana, hautomsaidia tu mpenzi wangu, bali members wengine na kizazi cha kesho kwa ujumla. Ahsanteni...
Nitembelee? Au atembelee?Tembelea stand za magari 2,anza kwa kontena labda 12 na bei elfu .
Hapana mkuu, nina malengo ya kumuoaWeka namba zake tumweleweshe direct
Kweli wewe akilini kwako kuna Ujinga mtupuLakini kwanini unetuletea jukwaa la mapenzi tuanzie hapo ?
Wewe na mpenzi wako shida kweli 30K ni mtaji wa biashara kweli.