Biashara ya matunda mchanganyiko (fruits salad) Tabora

Biashara ya matunda mchanganyiko (fruits salad) Tabora

lumia21

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2015
Posts
273
Reaction score
252
Kama kichwa kinavyo sema hapo juu Mim ni muhanga wa ajira za serikali.
Nataka hamishia makazi yangu Tabora na kujihusisha na biashara ya matunda mchanganyiko hapo tabora

Kwa wakazi wa Tabora naomben mnipe experience yenu na mji wa Tabora vip nitafanikiwa!??

Koz sio mwenyeji ki hvyo kama kuna mtu yuko read tunaweza partber kwa hiyo idea ya biashara...


Karbun kwa ushaur, ukosoaji na mengineyo.
 
Kwa Tabora sina uzoefu napo ila biashara ya matunda inalipa vizuri tuu kama utakuwa msafi na muaminifu
 
Kwa Tabora sina uzoefu napo ila biashara ya matunda inalipa vizuri tuu kama utakuwa msafi na muaminifu
Thnx kwa ushaur wako .. I will keep it in mind!
 
Mtaji inaweza kuwa kiasi gani
Inategemea na umeamua kuifanya kwa mtindo upi...kuyamenya na kutengeneza fruits salad au kuweka meza au kitoroli utembeze mazima mazima hapo ni tofauti kabisa mtaji wake wa fruits salad ni mdogo zaidi
 
Kama kichwa kinavyo sema hapo juu Mim ni muhanga wa ajira za serikali.
Nataka hamishia makazi yangu Tabora na kujihusisha na biashara ya matunda mchanganyiko hapo tabora

Kwa wakazi wa Tabora naomben mnipe experience yenu na mji wa Tabora vip nitafanikiwa!??

Koz sio mwenyeji ki hvyo kama kuna mtu yuko read tunaweza partber kwa hiyo idea ya biashara...


Karbun kwa ushaur, ukosoaji na mengineyo.
Mimi nipo tabora tuwasiliane kwa 0763930688 tuyajenge
 
Back
Top Bottom