Biashara ya Maturubai

Biashara ya Maturubai

AbbeyJr

Member
Joined
Jun 2, 2017
Posts
11
Reaction score
3
Wanajamvi poleni na majukumu ya kiTaifa, nataka kufanya ujasiriamali wa biashara ya maturubai kwa ajili ya matukio ya kijamii kama vile msiba, hitma, 40, bridal shower na harusi.. Naomba msaada wa gharama ya maturubai ya kuweza kuchukua watu 30-50 kwa hapa Dar na ikiwezekana sehemu ambapo yanapatikana. Nitashukuru sana wakuu nikiweza kupata hata contacts za watengenezaji/wauzaji.
 
Wanajamvi poleni na majukumu ya kiTaifa, nataka kufanya ujasiriamali wa biashara ya maturubai kwa ajili ya matukio ya kijamii kama vile msiba, hitma, 40, bridal shower na harusi.. Naomba msaada wa gharama ya maturubai ya kuweza kuchukua watu 30-50 kwa hapa Dar na ikiwezekana sehemu ambapo yanapatikana. Nitashukuru sana wakuu nikiweza kupata hata contacts za watengenezaji/wauzaji.
 
Mkuu, i can help you, hit me on pm with your whatsapps number. I ll call you and we will talk. It is always good to talk.
 
Back
Top Bottom