Dawa ya mafanikio ya biashara niNdugu wana JF wenzangu natumaini hamjambo.
Dhumuni la waraka huu ni kuomba wenye uelewa wa biashara ya export ya maua (dried)
Natamani sana kufanya hii biashara sasa naomba kama kuna mwenye connection jinsi ya kupata mzigo kwa bei nzuri, changamoto za biashara n.k
Nasikia maua mengi yanatoka mikoani, DR -Congo, Zambia ...
Mshana Jr kama kuna dawa pia si vibaya ukanipa nisikwame kwa biashara unajua huwezi kuanza biashara bila kwenda kwa mzee
Du. Halafu biashara ikifa unalalamika. Hujaanza biashara umeshaanza kuwaza kuloga ili ufanikiwe, utakumbuka kufuata miiko ya biashara? Hakuna ''dawa'' kwenye biashara hata siku moja.Ndugu wana JF wenzangu natumaini hamjambo.
Dhumuni la waraka huu ni kuomba wenye uelewa wa biashara ya export ya maua (dried)
Natamani sana kufanya hii biashara sasa naomba kama kuna mwenye connection jinsi ya kupata mzigo kwa bei nzuri, changamoto za biashara n.k
Nasikia maua mengi yanatoka mikoani, DR -Congo, Zambia ...
Mshana Jr kama kuna dawa pia si vibaya ukanipa nisikwame kwa biashara unajua huwezi kuanza biashara bila kwenda kwa mzee
Zipo dawa za kulinda utajiri Lakini nazo ni kimeoDu. Halafu biashara ikifa unalalamika. Hujaanza biashara umeshaanza kuwaza kuloga ili ufanikiwe, utakumbuka kufuata miiko ya biashara? Hakuna ''dawa'' kwenye biashara hata siku moja.