GEITA NAFAKA BORA
Member
- Apr 7, 2023
- 6
- 6
Kikubwa ni elimu katika biashara husika.Ndugu zangu,
Naomba kuliza ipi ni biashara Bora unayoweza fanya mkoa wowote ule Tanzania kati ya nafaka na nguo?
Naombeni ushauri jamani nipo Geita.
Uwe smart kwenye kuvaa au smart kweny nnKikubwa ni elimu katika biashara husika.
Zote zinalipa lakini pia zote zinaweza kukuangusha vibaya.
Angalizo; Biashaa ya nguo unatakiwa uwe smart sana.
Smart, kichwaniUwe smart kwenye kuvaa au smart kweny nn
Mda wa maokoto mwaisaNasema nataka ni Bora zaidi ! Kwanini nitafute