GEITA NAFAKA BORA
Member
- Apr 7, 2023
- 6
- 6
Ndugu zangu,
Naomba kuliza ipi ni biashara Bora unayoweza fanya mkoa wowote ule Tanzania kati ya nafaka na nguo?
Naombeni ushauri jamani nipo Geita.
Naomba kuliza ipi ni biashara Bora unayoweza fanya mkoa wowote ule Tanzania kati ya nafaka na nguo?
Naombeni ushauri jamani nipo Geita.