Biashara ya maziwa kenya kwa mashine maalum


kaka mimi na wewe wasoma habari tu. hatuna ufahamu wa Gitonga na biashara yake Kenya. kujua zaidi sio kuwa na ushabiki wa kuonekana sie ni wajuaji. ustaraabu ni kumhoji mwenye biashara halafu fanya critism yako kiungwana kwa hiyo biashara yake baada ya hapo. otherwise stick to vending machine kwa picha na google. huna habari ya biashara yamuhusika hapa bwana Gitonga. ndio nikasema ushabiki weka kando.
 
Wafanyabiashara wengi huwa hawaweki figures za margin zao wazi kiasi hichi....!!!!!hata wakiweka wanaweka zisizo sahihi.

Nahisi hii ni aina fulani ya promotion, au namna flani ku-raise awareness.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…