Biashara ya maziwa kenya kwa mashine maalum

Biashara ya maziwa kenya kwa mashine maalum

I the one who does not know and ask questions end up to be more informed than you whom you pretend to know and actually its seem you know nothing..

You are the One in the know so why don't you answer my questions, so I end up knowing as much as you know ?

You can not bring here a business venture which involves people purchasing machines and when asked about the details you end up hiding behind the guy is happy with his business.., he might be happy actually very happy when pocketing 650,000 kshs.., when selling that machine but what about the individual purchaser ?

kaka mimi na wewe wasoma habari tu. hatuna ufahamu wa Gitonga na biashara yake Kenya. kujua zaidi sio kuwa na ushabiki wa kuonekana sie ni wajuaji. ustaraabu ni kumhoji mwenye biashara halafu fanya critism yako kiungwana kwa hiyo biashara yake baada ya hapo. otherwise stick to vending machine kwa picha na google. huna habari ya biashara yamuhusika hapa bwana Gitonga. ndio nikasema ushabiki weka kando.
 
Wafanyabiashara wengi huwa hawaweki figures za margin zao wazi kiasi hichi....!!!!!hata wakiweka wanaweka zisizo sahihi.

Nahisi hii ni aina fulani ya promotion, au namna flani ku-raise awareness.
 
Back
Top Bottom