Biashara ya mbao Vs Ufugaji wa kuku

Oky mkuu soko lenu huko lipo chini kidogo kuna ahueni kidogo sema sijajua transport gar kubwa ikipakia hapo mpaka dar ni sh ngap? Kwa uzoefu wako kwa mchanganyiko wa 2*4 2*6 1*6 1*8 1*10 gar inaweza pakia pics ngapi?
 
Kununua mbao na kupeleka Arusha
 
Oky mkuu soko lenu huko lipo chini kidogo kuna ahueni kidogo sema sijajua transport gar kubwa ikipakia hapo mpaka dar ni sh ngap? Kwa uzoefu wako kwa mchanganyiko wa 2*4 2*6 1*6 1*8 1*10 gar inaweza pakia pics ngapi?
Unaposema gari kubwa unamaanisha tani ngapi? Swali lako naomba nilijibu kesho kwa uhakika kabisa. Maswali zaidi ni pm nikupe namba kwa mawasiliano zaidi.
 
Kwa nyongeza zaidi kama kuna mtu ana gari la mizigo na lipolipo kwa sababu ya ukosefu wa mizigo naomba niwape ushauri kuwa tafuteni masoko ya mbao ya uhakika kabisa kisha nitafuteni niwaonyeshe njia tufanye biashara. Hata kwa wale wenye pesa zina kaa tu bank tutafutane.

Mimi mtu akiniazima shilingi milioni 5 kila mwezi ntakuwa nampa riba ya shilingi laki tatu kwa maandikishano ya kisheria kwa udhamini wa mali ya zaidi ya eka mia za miti iliyo sehemu salama. Pesa zipo nje nje wakuu mwenyewe ataona fursa inamfaa tuwasiliane.
 
Weka figure hapa kwa ajili ya wengi:

1. Mzigo kununua
2. Nyaraka
3. Usafirishaji

Jumla inaweza kugarimu kiasi gani?
Nmekupata vema mkuu na swali lako lenye vipengere mhimu. Naomba nikuombe kesho saa nne au saa tano nitawasilisha taarifa mhimu hapa mezani kwa faida ya wengi. Nimeomba nipewe muda huo kwa kuwa taarifa za vipengere vingine ziko nnje ya uwezo wangu kwa muda huu. Sababu mimi nimezoea kupasua mbao na kuwauzia wateja wapelekao masoko ya mbali.
 
Powa mkuu
 
.
Mkuu mambo vp? Mimi nataka hapo kwenye kununua mbao vijijini na kuleta mjini, mtaji unahitajika kiasi gani kwa kuanzia?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado tunasubiri taarifa yako mkuu!
 
Mkuu Sasa hivi bei ya 1*4*12 ni Tsh ngapi na vipi kuhusu usafiri mpaka Dodoma?
 
Mkuu Sasa hivi bei ya 1*4*12 ni Tsh ngapi na vipi kuhusu usafiri mpaka Dodoma?
Nahitaji bei
 
mkuu, huko njombe heka yakukodi kwaajili ya kilimo cha mbao ni sh ngapi?, mbao inachukua muda gani kukomaa, na katika heka kuna miti mingapi? unapanda
 
mkuu, huko njombe heka yakukodi kwaajili ya kilimo cha mbao ni sh ngapi?, mbao inachukua muda gani kukomaa, na katika heka kuna miti mingapi? unapanda
Kukodi sijui ila miti iliyopandwa vizuri Kwa nafasi kufikia miaka nane unakuwa kubwa kubwa ila kama una njaa unaweza subili hadi miaka 12 hadi 15 inakuwa imekuwa vizuri
 
Fuata mbao ukipata location nzuri utakuja nishukuru
 
Kukodi sijui ila miti iliyopandwa vizuri Kwa nafasi kufikia miaka nane unakuwa kubwa kubwa ila kama una njaa unaweza subili hadi miaka 12 hadi 15 inakuwa imekuwa vizuri
Sawa na faida yake ikoje ikoje kwenye hiyo biashara,

Yuchukulie una mitii miaka 15 kwenye shamba la heka 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…