Biashara ya Mbuzi msimu wa sikukuu inalipa sana

Biashara ya Mbuzi msimu wa sikukuu inalipa sana

Akhi

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2021
Posts
3,380
Reaction score
5,906
Ni Ushauri wa biashara ya mbuzi kwa atakaeiweza.

Mimi ni mkaazi wa Zanzibar. Kama kuna mtu yupo tayari kufanya biashara hii ya mbuzi kipindi cha skukuu ile ya kuchinja huku Zanzibar wanalipa sana.

Wewe unachotakiwa kufanya ni kulisha mbuzi wako vizuri na uhakikishe wamenenepa vizuri. Kwa kipindi hicho cha sikukuu ya kuchinja mbuzi mmoja anauzwa laki moja sabini mpaka laki 2 na kitu inategemea na ukubwa wa mbuzi.

Mbuzi aina ya beberu ndo wanaopendwa zaidi kuliko mbuzi wake. Kwahiyo alokua tayari kufanya biashara hii ni yeye mwenyewe tu.

Mimi kama mwenyeji ukija na mbuzi wako nitakusaidia kutafuta wateja kipindi hicho.
 
Hii ngumu Sana, unataka kutufanyia udalali hapa?

Njoo Singida na Dodoma mbuzi ni 70,000 had 150,000 tena wakuzoa tu
 
Hii ngumu Sana, unataka kutufanyia udalali hapa?

Njoo Singida na Dodoma mbuzi ni 70,000 had 150,000 tena wakuzoa tu
Punguza munkari kijana sasa mm nimekwambia nina shida na pesa yako?

Mm nimetoa fursa kwa atakaehitaji hta kma hatonihusisha mimi
 
Maandalizi tumefanya miezi 4 iliyopita
Na order tayari wote wameisha

Ukitaka biashara ya hivi jiandae mapema
 
Ni Ushauri wa biashara ya mbuzi kwa atakaeiweza.

Mimi ni mkaazi wa Zanzibar. Kama kuna mtu yupo tayari kufanya biashara hii ya mbuzi kipindi cha skukuu ile ya kuchinja huku Zanzibar wanalipa sana.

Wewe unachotakiwa kufanya ni kulisha mbuzi wako vizuri na uhakikishe wamenenepa vizuri. Kwa kipindi hicho cha sikukuu ya kuchinja mbuzi mmoja anauzwa laki moja sabini mpaka laki 2 na kitu inategemea na ukubwa wa mbuzi.

Mbuzi aina ya beberu ndo wanaopendwa zaidi kuliko mbuzi wake. Kwahiyo alokua tayari kufanya biashara hii ni yeye mwenyewe tu.

Mimi kama mwenyeji ukija na mbuzi wako nitakusaidia kutafuta wateja kipindi hicho.
Msimu wa sikukuu yoyote mwenye mbuzi atauza, hata Mtoto mchanga kama anao atauza tu, Fanya biashara wakato wote hizo ndio biashara
 
Ni Ushauri wa biashara ya mbuzi kwa atakaeiweza.

Mimi ni mkaazi wa Zanzibar. Kama kuna mtu yupo tayari kufanya biashara hii ya mbuzi kipindi cha skukuu ile ya kuchinja huku Zanzibar wanalipa sana.

Wewe unachotakiwa kufanya ni kulisha mbuzi wako vizuri na uhakikishe wamenenepa vizuri. Kwa kipindi hicho cha sikukuu ya kuchinja mbuzi mmoja anauzwa laki moja sabini mpaka laki 2 na kitu inategemea na ukubwa wa mbuzi.

Mbuzi aina ya beberu ndo wanaopendwa zaidi kuliko mbuzi wake. Kwahiyo alokua tayari kufanya biashara hii ni yeye mwenyewe tu.

Mimi kama mwenyeji ukija na mbuzi wako nitakusaidia kutafuta wateja kipindi hicho.
Nimejifunza kitu, ngoja wazidi kuongezeka

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom