Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,616
Igweeeee!!!...Naamini wote humu ndani mko salama. Kuna hii biashara ya kuuza mchanga ambayo watu wameanza kuvutiwa nayo ambapo wananunua mashamba yenye mchanga na kuanza kuuza mchanga. Kwa ambao wameshaijaribisha hii biashara ina changamoto zipi? Nataka nianze kusaka maeneo ya kuwekeza kwenye biashara hii maana hali ni tete mifukoni.
Nimeona ikifanyika hasa kwenye maeneo ya Mkoa wa Pwani hasa maeneo ya Bagamoyo, Kibaha, Mlandizi na Mkuranga.
Je, ukifuata vibali vyote ukawa navyo, na ukaianza hii biashara kuna changamoto zingine tarajiwa? Naombeni msaada
Nimeona ikifanyika hasa kwenye maeneo ya Mkoa wa Pwani hasa maeneo ya Bagamoyo, Kibaha, Mlandizi na Mkuranga.
Je, ukifuata vibali vyote ukawa navyo, na ukaianza hii biashara kuna changamoto zingine tarajiwa? Naombeni msaada