Malaria - huku wanafanya the same lakini wanachouza ni moram ya kujengea barabara. Sad thing i after a while hizo site zinakuwa ni environmental hazards! Unless mtu anauza mchanga ili aje apageuze bwawa samaki, hiyo biashara may not be viBle for the long run hasa Kama tunaharibu mazingira kwa speed kama nnayoiona Arusha.