Wa Katutura
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 366
- 450
Naomba mchanganuo kdg mkuu maana 5m nime fanya km angalizo ili nipate mwanga vzrHuo mtaj n mdogo sanaa kwa kujumlisha nakod kali ya kwenda nje
Km huto jali,ni connect na jamaa yako aliopo kule mkuuHuo mtaji ni mkubwa sana,nina marafiki ambao wanafanya biashara kule wameanza na mtaji chini ya huo lakini sasa hivi wameshaimalika,cha msingi umpate mtu anayeweza kukusaidia ukiwa unaendelea kuzoea mazingira,pia ni vizuri kwenda kwanza ukaone mazingira,mchele huuzwa sana kasumbalesa,kitwe na lusaka
Zambia nime sikia pia samaki ni issue kwa sasa hvNasikia hata Samaki , wanalipa sana,
Eeh bwana mkuu samaki hawa satoZambia nime sikia pia samaki ni issue kwa sasa hv
chris_Mike
vp mkuu ulifanikiwa kuianza hii business nataka nikufate
Sio mdogo mkubwa! Si wazoefu tulikuwa tunalipia largage tuuu! Zambia kuingiza chakula Hawa na shida ila shida IPO upande wa Tanzania! Wakuda mnooo mi nilikuwa nasafirisha na Teen maana gari utakutana nao TundumaHuo mtaj n mdogo sanaa kwa kujumlisha nakod kali ya kwenda nje
Kule mabwawa makubwa ya samaki yapo under govt kuna miezi serikali inapiga marufuku kuvua ili samaki wakue! Na hata ukifuga binafsi kuna mda huuzi ili wakue ni utaratibu wa nchi na washauzoeaZambia nime sikia pia samaki ni issue kwa sasa hv
Sio mdogo mkubwa! Si wazoefu tulikuwa tunalipia largage tuuu! Zambia kuingiza chakula Hawa na shida ila shida IPO upande wa Tanzania! Wakuda mnooo mi nilikuwa nasafirisha na Teen maana gari utakutana nao Tunduma
mkuu nipe maelezo vzr maana Kuna group la wajasiliamali wa Zambia,nimeona jamaa kapost anamchele wa "NAKONDE" kutoka tunduma tz anauza meda moja/kisado kwa k65,and most of people wakawa interested wakawa wanaplace order,hii kitu ya Michelle wa mbeya bado ni deal huko zambia
Shida wazambia wanapenda vitu vizuri lakini kwao kutoa pesa ni tatizo. Yani unaishia kukopesha tu.Usikurupuke dear, nimefanya hiyo biashara soko langu lilikuwa kapiri na mpongwe! Before ilkuwa nzuri Sasa kuna challenge nyingi nimerudi bongo kule naenda tu kupeleka vitu kwa order!
Aliyekuelekeza akupe soko! Na iwe cash and carry Sio unapeleka mzigo unakaa siku 10 hotel unamaliza faida unarudi na msingi tu!
Sent using Jamii Forums mobile app