Biashara ya mchele kutoa Tunduma kupeleka Zambia

Biashara ya mchele kutoa Tunduma kupeleka Zambia

Usiogope kaka niko huku mara nyingi nimekuwa na mizunguko ya Ndola,Kitwe, Mfulira na kasumbalesa,mchele wa Tanzania ndio biashara, wenyewe wanaita Nakonde Rice., jipe ujasiri ingia sokoni mengine utakabiliana nayo, njiani ila ni vema pia ukapata kitambulisho cha freeborder trade cha comesa pale Nakonde border nadhani itakurahisishia zaidi kufanya biashara zako kitambulisho ni kama 350 kwacha. Kama tsh 54000 au 60000 hivi.
Usiogope face ua fear.
Wanajamvi,

Naomba ushirikiano katika ushauri wenu wa biashara hii ya Mchele. Kutoa pale Mbeya kupeleka Zambia kwa mtaji wa Milioni 5, nimesikia kua Zambia biashara hii inalipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lodge huku ni ghali sana chumba cha kwacha 150 yaani tsh 25,000 kwa usiku mmoja ni chumba cha tsh 3500 huko Nyumbani yaani choo cha nje na ni kitanda tu tena kikiwa kizuri mshukuru Mungu other wise chumba ni kuanzia 40000 kwa usiku mmoja ambapo ni kitanda na choo cha ndani ila pia sio kitanda kama vyetu huko Tanzania
Usikurupuke dear, nimefanya hiyo biashara soko langu lilikuwa kapiri na mpongwe! Before ilkuwa nzuri Sasa kuna challenge nyingi nimerudi bongo kule naenda tu kupeleka vitu kwa order!

Aliyekuelekeza akupe soko! Na iwe cash and carry Sio unapeleka mzigo unakaa siku 10 hotel unamaliza faida unarudi na msingi tu!


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiogope kaka niko huku mara nyingi nimekuwa na mizunguko ya Ndola,Kitwe, Mfulira na kasumbalesa,mchele wa Tanzania ndio biashara, wenyewe wanaita Nakonde Rice., jipe ujasiri ingia sokoni mengine utakabiliana nayo, njiani ila ni vema pia ukapata kitambulisho cha freeborder trade cha comesa pale Nakonde border nadhani itakurahisishia zaidi kufanya biashara zako kitambulisho ni kama 350 kwacha. Kama tsh 54000 au 60000 hivi.
Usiogope face ua fear.

Sent using Jamii Forums mobile app
Broh naomba hata namba yako au nichek Mimi Niko Tz 0758079227
 
Usikurupuke dear, nimefanya hiyo biashara soko langu lilikuwa kapiri na mpongwe! Before ilkuwa nzuri Sasa kuna challenge nyingi nimerudi bongo kule naenda tu kupeleka vitu kwa order!

Aliyekuelekeza akupe soko! Na iwe cash and carry Sio unapeleka mzigo unakaa siku 10 hotel unamaliza faida unarudi na msingi tu!


Sent using Jamii Forums mobile app
Great
 
Huo mtaji ni mkubwa sana,nina marafiki ambao wanafanya biashara kule wameanza na mtaji chini ya huo lakini sasa hivi wameshaimalika,cha msingi umpate mtu anayeweza kukusaidia ukiwa unaendelea kuzoea mazingira,pia ni vizuri kwenda kwanza ukaone mazingira,mchele huuzwa sana kasumbalesa,kitwe na lusaka
Uko na connection ya biashara ya mazao zambia unipatie
 
Back
Top Bottom