1700Tshs mpaka mzigo unakufikia kwa mchele super, kutokana na gharama za nauli na ushuru .Gharama ya kilo kwa mikoa ya Arusha au Moshi ikoje?
Kama nilivyoainisha kwenye thread boss,Niko Morogoro mjini nahitaji kilo100, nipe bei
Ahsante mkuu.Mimi mchele sihitaji ila nakupongeza kwa uandishi mzuri, ongeza na picha kuvutia wateja.
.165,000Tshs kwa gunia la 100kg.Nikiwa Dodoma mchele super unanifikia kwa shingapi
90,000Tshs kama utachukulia mashineni ,ila ukiingia porini kabisa huwa ni 70,000 ambapo utagharamikia usafiri na gharama za makuli .Gunia la mpunga unauza bei gani?
Swali zuri !Anayeupa grade ni taasisi gani au ni wewe mwenyewe?
Kilo 25 huuzi? Si kila mmoja wetu hapa atakuwa na uhitaji wa kilo mia kwa matumizi ya nyumbaniNinauza mchele super 1500Tshs kwa kilo. Nakusafirisha mzigo kuanzia kg100 kwa wateja wa Dar es Salaam utapokea mzigo wako Mbezi. Pia, kwa wanaohitaji kununua mchele/mpunga kwasasa kwaajili ya uwekezaji, nipe oda yako.
Gunia 1 la 100 kg za mchele super nauza 1200Tshs. Mahali kwa kufuata mzigo ni mashineni Mbingu-Tandika.
Maelezo mengine kwa kifupi kuhusu Kilombero-Mbingu:
Mahali : Panafikika kirahisi kwa usafiri wa treni / gari za kawaida.
Usafiri/gari za mizigo: Zipo za kutosha .
Malazi : Nyumba za wageni bei ni 4000 - 6000Tshs per day.
Mchele grade 2 : Upo wa kutosha bei kuanzia 1000Tshs.
Bei ya chenga : 500Tshs/kg
Karibuni & Ahsante
Maswali yatajibiwa accordingly.
Na likawa na kg 100 ulipolipima?Niliwahi kutumiwa 'magunia' matatu ya mchele kwa reli ya Tazara. Treni imefika tangu saa 12 asubuhi niko natafuta mzigo siuoni. Mawazo yangu yalikuwa kuwa gunia la mchele la kg 100 litakuwa kubwa kama gunia la mahindi! Kumbe ni ka kiroba kadogo tu!
Nilifanikiwa kuyaona baada ya kuona jina langu kwenye kafurushi kadogo hivi. Nilishangaa sana.
Hapo panatakiwa kumaanisha hivyo hivyo au panahitaji marekebisho?Gunia 1 la 100 kg za mchele super nauza 1200Tshs. Mahali kwa kufuata mzigo ni mashineni Mbingu-Tandika.
Maelezo mengine kwa kifupi kuhusu Kilombero-Mbingu:
Mahali : Panafikika kirahisi kwa usafiri wa treni / gari za kawaida.
Usafiri/gari za mizigo: Zipo za kutosha .
Malazi : Nyumba za wageni bei ni 4000 - 6000Tshs per day.
Mchele grade 2 : Upo wa kutosha bei kuanzia 1000Tshs.
Bei ya chenga : 500Tshs/kg
Karibuni & Ahsante
Maswali yatajibiwa accordingly.
Ulilipima kuthibitisha?Niliwahi kutumiwa 'magunia' matatu ya mchele kwa reli ya Tazara. Treni imefika tangu saa 12 asubuhi niko natafuta mzigo siuoni. Mawazo yangu yalikuwa kuwa gunia la mchele la kg 100 litakuwa kubwa kama gunia la mahindi! Kumbe ni ka kiroba kadogo tu!
Nilifanikiwa kuyaona baada ya kuona jina langu kwenye kafurushi kadogo hivi. Nilishangaa sana.
Hii inawezekana mkuu ,ikiwa tu nauli italipwa na muhusika.Nilichagua 100kg ili iwe rahisi kwenye ulipaji ushuru na usafirishaji kutokea shambani.Maana bado nipo kwenye zoezi la ukusanyaji.Kilo 25 huuzi? Si kila mmoja wetu hapa atakuwa na uhitaji wa kilo mia kwa matumizi ya nyumbani
USHAURI:
Fungasha kilo 10, 10 utatuokota wengi sana