- Thread starter
- #21
Asante kwa kuliona hilo mkuu,nimekosea kuandika hapo,nitafanya marekebisho .ila ni 120,000Tshs,ambayo ni 1,200 kwa kilo mojaHapo panatakiwa kumaanisha hivyo hivyo au panahitaji marekebisho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa kuliona hilo mkuu,nimekosea kuandika hapo,nitafanya marekebisho .ila ni 120,000Tshs,ambayo ni 1,200 kwa kilo mojaHapo panatakiwa kumaanisha hivyo hivyo au panahitaji marekebisho?
Boss huku kidogo kuna wabobezi (wengi ni mabwanashamba)kwahiyo huwa wanaangalia mbegu ya mpunga na namna unavyo chomoka baada ya kukobolewa ,kwahiyo wanatusaidia ku-sort kabla hujatoa mzigo mashineni.Anayeupa grade ni taasisi gani au ni wewe mwenyewe?
Mmh kama ulilipima sawa mkuu,ila 100kg huwa si habaNiliwahi kutumiwa 'magunia' matatu ya mchele kwa reli ya Tazara. Treni imefika tangu saa 12 asubuhi niko natafuta mzigo siuoni. Mawazo yangu yalikuwa kuwa gunia la mchele la kg 100 litakuwa kubwa kama gunia la mahindi! Kumbe ni ka kiroba kadogo tu!
Nilifanikiwa kuyaona baada ya kuona jina langu kwenye kafurushi kadogo hivi. Nilishangaa sana.
Kwahiyo nikufungie ngapi kaka mkubwa.?Kilo 25 huuzi? Si kila mmoja wetu hapa atakuwa na uhitaji wa kilo mia kwa matumizi ya nyumbani
USHAURI:
Fungasha kilo 10, 10 utatuokota wengi sana
Mkoa gan huu90,000Tshs kama utachukulia mashineni ,ila ukiingia porini kabisa huwa ni 70,000 ambapo utagharamikia usafiri na gharama za makuli .
Unanukia kama wa Kyela?Ninauza mchele super 1500Tshs kwa kilo. Nakusafirisha mzigo kuanzia kg100 kwa wateja wa Dar es Salaam utapokea mzigo wako Mbezi. Pia, kwa wanaohitaji kununua mchele/mpunga kwasasa kwaajili ya uwekezaji, nipe oda.
UPDATES
Jipatie mchele super unaochambuka vizuri kwa 1700Tshs@ 1kg.
Ndani ya Dar es salaam unaletewa mzigo wako mlangoni.
Karibuni
View attachment 1833869
Ninauza mchele super 1500Tshs kwa kilo. Nakusafirisha mzigo kuanzia kg100 kwa wateja wa Dar es Salaam utapokea mzigo wako Mbezi. Pia, kwa wanaohitaji kununua mchele/mpunga kwasasa kwaajili ya uwekezaji, nipe oda.
UPDATES
Jipatie mchele super unaochambuka vizuri kwa 1700Tshs@ 1kg.
Ndani ya Dar es salaam unaletewa mzigo wako mlangoni.
Karibuni
View attachment 1833869
Nakucheki boss.Nataka kuja kuuona , uko wapi? Pia naweza pata ule mchele wa magugu?
Ni mzuri maana ni mzigo ambao haujakaa store ,Nakusanya tu mpunga na kukoboa moja kwa mojaUnanukia kama wa Kyela?
Ni morogoroMkoa gan huu