INAUZWA Biashara ya mchele kutoka Morogoro

Hapo panatakiwa kumaanisha hivyo hivyo au panahitaji marekebisho?
Asante kwa kuliona hilo mkuu,nimekosea kuandika hapo,nitafanya marekebisho .ila ni 120,000Tshs,ambayo ni 1,200 kwa kilo moja
 
Anayeupa grade ni taasisi gani au ni wewe mwenyewe?
Boss huku kidogo kuna wabobezi (wengi ni mabwanashamba)kwahiyo huwa wanaangalia mbegu ya mpunga na namna unavyo chomoka baada ya kukobolewa ,kwahiyo wanatusaidia ku-sort kabla hujatoa mzigo mashineni.
Na ndio wanaotushauri mbegu ipi ya mpunga inauwezekano mkubwa wa kukupatia mchele super na ipi huwa ni ya kubahatisha.Kwa wanao-export pia kama wanahitaji professional sorting kuna watu wapo huku (mamlaka husika)wanaweza kusaidia zaidi .
Natumaini nimekujibu .
 
Mmh kama ulilipima sawa mkuu,ila 100kg huwa si haba
 
Kilo 25 huuzi? Si kila mmoja wetu hapa atakuwa na uhitaji wa kilo mia kwa matumizi ya nyumbani
USHAURI:
Fungasha kilo 10, 10 utatuokota wengi sana
Kwahiyo nikufungie ngapi kaka mkubwa.?
 
Unanukia kama wa Kyela?
 

Nataka kuja kuuona , uko wapi? Pia naweza pata ule mchele wa magugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…