Genchi
Member
- Aug 19, 2014
- 94
- 45
Wadau habar? Nimepata wazo la kufanya bishara ya mchele/mpunga.
Kama kuna mdau humu anaifanya naomba ushauri ;
Je ipi bora zaid
Kununua mpunga kuweka store kisha unauza badae?
Kununua mchele mkoani na kusafirisha dar kuuza?
Au ipi njia nyingine bora ya kufanya hii biashara?
Ahsanten kwa wote mtakaonishaur[emoji120]
Kama kuna mdau humu anaifanya naomba ushauri ;
Je ipi bora zaid
Kununua mpunga kuweka store kisha unauza badae?
Kununua mchele mkoani na kusafirisha dar kuuza?
Au ipi njia nyingine bora ya kufanya hii biashara?
Ahsanten kwa wote mtakaonishaur[emoji120]