Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

Ushauri wangu chukua ps4 moja na ps3 moja. Na tv 2 za inch 32.
Gamers wengi wanapenda fifa 20 na kuendelea ambayo haipo kwenye ps3. Utakosa wateja wa fifa wengi.
 
Mungu akubariki
 
Wakumbushe pia, kutengeneza controller kwenye hitilafu ndogo kabisa ni kuanzia elfu5... Na inaenda hadi elfu 30.

Lerner hawajui kuwa analogue haihitaji nguvu, ikimeguka tu, kuibadili ni kipengele.

Ku-update game eg FIFA au GTA ni GB10 mpaka 20 inategemea na signal ya network.

Mwisho wa yote niwatakie mafanikio mema.
 
Ku update version ya game iliyo installed tayari au kufanya new installation ndio 10GB +?
 
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Hii ya game pc ndo naona iko vizuri ulivyoichanganua sijawahi itumia hii embu nielekeze unaunganisha vipi pc mpka unacheza kwenyeTv.
Simple tu. Tv inakuwa kama monitor. Either uunganishe kwa VGA au hdmi.
Then pads za pc zina waya una connect via usb ports au via bluetooth kama pc yako inayo.

Kwa kuongezea tafuta kijisabufa hata cha 60k unganisha na pc kama source ya audio. Inanoga sana na inaleta bonge la vibe hasa kwenye magame ya ngumi
 
Yah kabisa
 
used inaanzia laki 550 hadi laki 7.....unaweza pata 450 ila chache sana na znakuwa fat.... Jaribu kutembea kupatana na facebook groups za used items utapata (ila umakini unahitajika)
Wakuu pes4 ni bei gan nataka kujaribu hii biashara
 
Mkuu ni wap ntapata bodaboda mbili kwa 2.5m zikiwa mpya ? Tuanzie hapo
 

Waswahili bwana amtaki watu waingie kwenye biashara zenu hakuna biashara isio kuwa na faida na kila biashara pia inachangamoto zake acheni mbwembwe gb 30 kwa voda 20k alafu utakuwa ana update kila siku kwani na cd atakuwa ananunua kila wiki mbona izo changamoto za kawaida je ukija kwenye biashara zetu za kusafirisha vitu vya magendo kutoka nchi jirani kama sukari,mafuta,chumvi,cement,mabati,nondo n.k,si ndo utaona dunia inataka kukushukia maana siku wakikuotea ndo utajua umuhimu wa vya vyama vingi.
 
Kaka Castr ninamaswali mawili kutokana na uzoefu wako......je faida kwa siku inarange ngapi kwa kijiwe chako?

vipi kwa mtu anaeanza na playstation 2, utamshauri achukue ps3 mbili au achukue ps 4 moja na ps 3 moja..?

Je ukilingamisha na biashara ambazo umewahi kufanya je unaona kuchezesha Play stations ni bora? .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…