ashy me
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 460
- 299
Habar za humu wakuu ,,,
Mimi mwenyez mungu akipenda nakusudia kujihusisha katika biashara ya Mihogo
Ninaomba wale wazoefu wanipe muongozo ...masoko yanapatikanaje na kipi n bora kuuza mwenyew au via madalal ...kipi cha kujiepusha nacho
Ninaomben muongozo wajuz .....pia ka kuna dalal wa kaz izo tutafutane
0685580057
Mimi mwenyez mungu akipenda nakusudia kujihusisha katika biashara ya Mihogo
Ninaomba wale wazoefu wanipe muongozo ...masoko yanapatikanaje na kipi n bora kuuza mwenyew au via madalal ...kipi cha kujiepusha nacho
Ninaomben muongozo wajuz .....pia ka kuna dalal wa kaz izo tutafutane
0685580057