frank ngowi
Member
- Aug 4, 2018
- 6
- 4
nimekuelewa mkuu shukrani sanaaWANAOFANYA BIASHARA HIZO WENGI WAO...WANAITENGENEZA WENYEWE...LAKINI...KAMA UPO DAR ES SALAAM PALE MIKOCHENI...KARIBU NA UBAROZI WA MAREKANI....KUNA SUPPERMARKET INAITWA SHOPPERS...kuna watengenezaji wa mikate pale nadhani unaweza ukaenda kuzungumza nao ujue bei...ya jumla ujue jinsi utakavyo jipanga
He...😀😀Tabu ya mikate,unapouza dukani,,isiponunuliwa ikaharibika hiyo Ni yako,kwa maana ukipita Tena unaichukua mibovu na kumpa mizima