Biashara ya mikate

frank ngowi

Member
Joined
Aug 4, 2018
Posts
6
Reaction score
4
habari za muda huu wana JF,

Naomba kuuliza kwa biashara ya mikate ya jumla inahitaji mtaji kama kiasi gani na vipi kwa wenye experience inalipaa? yaani ni ile nainunua na kufanya delivary kabisa kwenye madukaa..ahsanteni na naomba ushirikiano wenu
 
WANAOFANYA BIASHARA HIZO WENGI WAO...WANAITENGENEZA WENYEWE...LAKINI...KAMA UPO DAR ES SALAAM PALE MIKOCHENI...KARIBU NA UBAROZI WA MAREKANI....KUNA SUPPERMARKET INAITWA SHOPPERS...kuna watengenezaji wa mikate pale nadhani unaweza ukaenda kuzungumza nao ujue bei...ya jumla ujue jinsi utakavyo jipanga
 
nimekuelewa mkuu shukrani sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…