Biashara ya mitumba inavyoua viwanda vyetu

Mkuu hizi nguo special ni gharama sana kwa wa tz wengi ..mitumba inasaidia kwa kwel
 
Hamna viwanda hapa. T-shirt tu ukifua mara mbili imeshafubaa. Quality zero,
 
Sasa nguo zinatolewa bure ulaya huku twauziwa beeeeeeeeei kubwa,kutajirisha watu kwa pamba zetu
 
Iyo video umeangalia lakin? Ati vimodo ni kwa malnourished
 
Mitumba ni nguo bora kwa wakati wote,,,hasa ukiipata yenye ubora.
 
Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza mkuu, kama viwanda vikiwa na pamba kali wala haitatumika nguvu kubwa kuzuia mitumba, itakosa wavaaji na itaacha kuagizwa., quality ya nguo za kwetu ni zero.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…