Biashara ya Mpesa na Airtel Money kwa mtaji wa Milioni 4

Mtendaji wa kaya

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
334
Reaction score
58
wana jamvi nahitaji kufungua biashara ya mpesa na airtel money! nina milioni 4 cash...naomba mwenye uzoefu na kazi hii anipe mchanganuo wa huo mtaji na kama kuna faida ya kutosha nitakayopata kulingana na mtaji huo...Nawasilisha
 
wana jamvi nahitaji kufungua biashara ya mpesa na airtel money! nina milioni 4 cash...naomba mwenye uzoefu na kazi hii anipe mchanganuo wa huo mtaji na kama kuna faida ya kutosha nitakayopata kulingana na mtaji huo...Nawasilisha

Wabongo bwana..ivi mtu ukishapata ki mtaji kidgo tu all u think ni mpesa/tigopesa ?? Kwan hamna fursa zingine ?? Acha hzo biashara za kuiga watu.
 
wana jamvi nahitaji kufungua biashara ya mpesa na airtel money! nina milioni 4 cash...naomba mwenye uzoefu na kazi hii anipe mchanganuo wa huo mtaji na kama kuna faida ya kutosha nitakayopata kulingana na mtaji huo...Nawasilisha

Mkuu kama unaweza kupata eneo zuri la biashara kama stendi ya mabasi, karibu na hostels ama sehemu ya biashara iliyochangamka , nenda tu vodashop watakupa mtiririko wa maana na utafurahi!
 
Naona senior umenipiga jungu! poa bwana

Na mtaji huo unaweza uka fungua a small restaurant ukiuza vyakula/chips utapiga hela nzuri tu kuliko hyo mpesa/tigopesa. Kuna sister flan namjua kajenga nyumba hvi hvi ki utani utani na hyo business issue upate eneo sahihi. Na usidanganywe kwamba hyo kazi wanafanya akna dada tu. NO !!! Waweza ajiri binti mmoja au wawili wakakusaidia. All i'm saying is u need to be creative. #Goodluck.
 
Mkuu kama unaweza kupata eneo zuri la biashara kama stendi ya mabasi, karibu na hostels ama sehemu ya biashara iliyochangamka , nenda tu vodashop watakupa mtiririko wa maana na utafurahi!

Poa sana mkuu
 
Mkuu kama unaweza kupata eneo zuri la biashara kama stendi ya mabasi, karibu na hostels ama sehemu ya biashara iliyochangamka , nenda tu vodashop watakupa mtiririko wa maana na utafurahi!

Sawa sawa
 

ushauri mzuri sana huu maana huduma ya chakula ni ya muhimu na ukiiendesha vizuri inadumu sana, mpesa pia ni nzuri japo kwa siku za hivi karibuni watu wamekuwa wengi sana wanafanya hii kitu ila all in all yafaa uwe creative kama Senior Boss alivoshauri
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…