MONA WA KYEN
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 340
- 271
Wakuu habari napenda kuuliza anaefahamu kuhusu biashara ya kukoboa na kuuza mpunga maeneo ya Dodoma mjini na hata pembezoni mwa jiji.
Ningependa kufahamu
1. Upatikanaji wa mpunga kwa bei rahisi na mzuri huwa hasa maeneo gani?
2. usafirishaji wake ukoje na garama yake ina range kiasi gani?
3. Gharama za kukoboa zikoje?
4. Eneo lenye biashara inayozunguka sana kwa mchele ni lipi? ndani ya jiji au nje ya jiji?
Mengineyo naomba aniongezee kama yapo, asaneni natanguliza shukrani.
Ningependa kufahamu
1. Upatikanaji wa mpunga kwa bei rahisi na mzuri huwa hasa maeneo gani?
2. usafirishaji wake ukoje na garama yake ina range kiasi gani?
3. Gharama za kukoboa zikoje?
4. Eneo lenye biashara inayozunguka sana kwa mchele ni lipi? ndani ya jiji au nje ya jiji?
Mengineyo naomba aniongezee kama yapo, asaneni natanguliza shukrani.