Biashara ya mpunga...

Nina gunia 40 zipo Songea anayehitaji aje DM
 
Slowly mkuu naomba unisaidie mawasiliano yako nataka kuingia kwenye biashara ya mpunga ila uzoefu sina nahitaji mtu wakuniongoza
 
Jambo la kwanza ni kujua soko liko wapi.Kuna sehemu ambayo mpunga bei ipo chini kwa kuwa miundombinu ni mibovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…