Biashara ya mpunga...

Biashara ya mpunga...

Nina gunia 40 zipo Songea anayehitaji aje DM
 
Slowly mkuu naomba unisaidie mawasiliano yako nataka kuingia kwenye biashara ya mpunga ila uzoefu sina nahitaji mtu wakuniongoza
 
Wadau bila shaka mpo vizuri sana,

Naomba mwenye uzoefu na biashara ya kununua mpunga na baadaye kuja kuuza, kwani nipo maeneo ambayo mpunga upo wa kutosha sana na bei yake ni ndogo sana, hii ni fursa naombeni changamoto kwa wazoefu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo la kwanza ni kujua soko liko wapi.Kuna sehemu ambayo mpunga bei ipo chini kwa kuwa miundombinu ni mibovu
 
Back
Top Bottom