Kwa mtaji huo kwanza usi paniki,,kaa relax kidogo hata sku kazaa pita hapa na pale kusanya mawazo ya watu,,ingawaje wengi wata ona una hela ndefu so uta ingiza hela nyingi na kuwazibia rizki za wateja nk.
Lakini mwisho wa sku uta Pata Kipi Ni sahihi kwako kwani akili za kupewa Nawe ongeza na zakwako.
Uki taka kufanya biashara ina tegemea Uko wap na una taka ufanyie wapi Hiyo biashara.
Ila jambo ambalo Lita kusaidia hebu hiyo pesa usi wekeze yote,, jaribu kufungua biashara tofaut tofaut na kwa nyakati tofaut tofaut,, na kwa maeneo tofaut tofaut,, maana biashara wazoefu tuna zijua tibwili lake,,
Sio una Nunua mzigo eti una safirisha una fika njian una ambiwa gari ime haribika ina htaj million kutengeneza huna,, uta ishia kufa na Presha ungali kijana bure,, Fanya biashara bakisha kiasi cha fedha..........
Binafsi Nina fursa nyingi ninazo zifahamu ambazo uki jikita hapo huta juta kamwe.
Kama upo interested nitafute
0763885349
Lakini mwisho wa sku uta Pata Kipi Ni sahihi kwako kwani akili za kupewa Nawe ongeza na zakwako.
Uki taka kufanya biashara ina tegemea Uko wap na una taka ufanyie wapi Hiyo biashara.
Ila jambo ambalo Lita kusaidia hebu hiyo pesa usi wekeze yote,, jaribu kufungua biashara tofaut tofaut na kwa nyakati tofaut tofaut,, na kwa maeneo tofaut tofaut,, maana biashara wazoefu tuna zijua tibwili lake,,
Sio una Nunua mzigo eti una safirisha una fika njian una ambiwa gari ime haribika ina htaj million kutengeneza huna,, uta ishia kufa na Presha ungali kijana bure,, Fanya biashara bakisha kiasi cha fedha..........
Binafsi Nina fursa nyingi ninazo zifahamu ambazo uki jikita hapo huta juta kamwe.
Kama upo interested nitafute
0763885349