passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Web.Unatumia app ama web?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Web.Unatumia app ama web?
Web.
Nenda bank iliyokaribu na weweNatafuta mtu wa kuniwezesha milion 10 Niko kahama offer ya 50% miezi Saba njoo WhatsApp +255755846814
nenda machimbo nunua madini kwa wachimbaji wadogo njoo uza mjini kwa wauzaji wakubwa miez mi5 tuu wewe ni doni
BOSS WANGU HYO PES NINYING SNA ME NLIANZ namtaji wa 1.5 na ss naingiza 460 kwa mwezi kwawil naingiza zaid ya 70 issue ndgo tuWakuu samahani nimekwama hapa, nawaza ni biashara gani naweza fanya ya mtaji wa milioni 2 nikapata faida pamoja na rejesho la kila wiki shilingi elfu 90, kwa mwenye wazo anisaidie tafadhali
Biashara gan mkuuBOSS WANGU HYO PES NINYING SNA ME NLIANZ namtaji wa 1.5 na ss naingiza 460 kwa mwezi kwawil naingiza zaid ya 70 issue ndgo tu
Naomba nieleweshe Hilo unachowekezaInawezekana Kupata Zaid ya Hiyo Elfu 90 kwa Wiki , Mim nimewekeza Milion 4 Napata Mpaka Laki tatu kwa Wiki , Na Kila Siku sikosi 50 mpaka 70[emoji849]
Njoo kariakoo tafuta meza.
Meza zinatofautiana bei kutokana na mitaa, zinaanzia moja mfano mitaa ya aggrey na sikukuu, 150k,200 mpaka 300k kwa mwezi mitaa ya congo.
Kuhusu kulipa inategemea na muhusika na swaga zako na miezi, unaweza anza lipa miezi3,minne mpaka6.
Tukija kwenye biashara kuna vijora😂😂hii kitu watu wanadharau ila ni hatari, sababu nashinda huku naona.
Kuna vitu vya urembo kama hereni, cheni n.k
Kuna kuuza visendo vya watoto wakike.
Kuna kuuza mitumba.
Kwangu hizo ni biashara nzuri na unaweza rudisha pesa
NB( biashara inahitaji akili na uchangamfu in tx Dullah voice)
Karibu mkuu tupambane
Kupata meza ni mpaka kupitia kwa madalali.Ninashida na meza kariakoo hivi unaanzia wapi kutafuta?
Wakuu samahani nimekwama hapa, nawaza ni biashara gani naweza fanya ya mtaji wa milioni 2 nikapata faida pamoja na rejesho la kila wiki shilingi elfu 90, kwa mwenye wazo anisaidie tafadhali
Mishe gani hiyo?Mimi naingiza 120k kila wiki kwa mtaji wa 1.7M tu huu ni mwaka wa 7 sasa
Inawezekana kupata zaidi ya Hiyo Elfu 90 kwa Wiki, Mimi nimewekeza Milion 4 Napata Mpaka Laki tatu kwa Wiki na Kila Siku sikosi 50 mpaka 70.
Nielekeze nije Fasta, maana hali si shwariNjoo Kariakoo tafuta meza. Meza zinatofautiana bei kutokana na mitaa, zinaanzia moja mfano mitaa ya aggrey na sikukuu, 150k, 200k mpaka 300k kwa mwezi mitaa ya Congo.
Kuhusu kulipa inategemea na muhusika na swaga zako na miezi, unaweza anza lipa miezi3, minne mpaka 6.
Tukija kwenye biashara kuna vijora😂😂hii kitu watu wanadharau ila ni hatari, sababu nashinda huku naona.
Kuna vitu vya urembo kama hereni, cheni n.k
Kuna kuuza visendo vya watoto wa kike.
Kuna kuuza mitumba.
Kwangu hizo ni biashara nzuri na unaweza rudisha pesa
NB(Biashara inahitaji akili na uchangamfu in tx Dullah voice)
Karibu mkuu tupambane
Nicheki mkuu.Nielekeze nije Fasta, maana hali si shwari
PoaNicheki mkuu.