Biashara ya mtaji wa milioni 2

Natafuta mtu wa kuniwezesha milion 10 Niko kahama offer ya 50% miezi Saba njoo WhatsApp +255755846814
 
Pombe kali za kupima ila sidhani kama utafikisha ilo tarajio lako mapema Mkuu
 
Wakuu samahani nimekwama hapa, nawaza ni biashara gani naweza fanya ya mtaji wa milioni 2 nikapata faida pamoja na rejesho la kila wiki shilingi elfu 90, kwa mwenye wazo anisaidie tafadhali
BOSS WANGU HYO PES NINYING SNA ME NLIANZ namtaji wa 1.5 na ss naingiza 460 kwa mwezi kwawil naingiza zaid ya 70 issue ndgo tu
 

Nina shida na meza Kariakoo, hivi unaanzia wapi kutafuta?
 
Wakuu samahani nimekwama hapa, nawaza ni biashara gani naweza fanya ya mtaji wa milioni 2 nikapata faida pamoja na rejesho la kila wiki shilingi elfu 90, kwa mwenye wazo anisaidie tafadhali

Mimi naingiza 120k kila wiki kwa mtaji wa 1.7M tu huu ni mwaka wa 7 sasa
 
Nielekeze nije Fasta, maana hali si shwari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…