Shida biashara niliyokuwa nafanya ipo kijijin Sana hainipi changamoto na mzunguko mdogo pia ndo maana nataka kuja darKwanza umeipataje hiyo pesa , kama Kuna biashara unafanya ndio iliyokuingizia hiyo pesa nakusihi endelea na hiyo hiyo biashara Kwa kuongeza WiGo zaidi wa biashara Yako.
Maana biashara mpya Huwa Sana na itakuchukua muda kidogo kuzimaster .
Nilitaka kuongea ila nikaona wacha niendelee kusoma na kweli bana nikakuta koment yako aiseeee!! Nimecheka mpk kichwa kinauma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu, wewe juzi juzi si ulikuwa unauliza ni wapi wanachukua walinzi ili na wewe upeleke form ya kuomba kazi ya ulinzi?
Hii biashara ya ufuta umeianza lini?, kama ina faida kwa nini utake kuomba kazi ya ulinzi?. Angalia usimuingize choo cha kike mdogo wetu.
Oya mdogo wangu, hapo juu kuna watu wamekupa ushauri mzuri sana. Hiyo hela yako kwa sasa tafuta sehemu uitunze kwanza, usiingize kwenye biashara yoyote ile. Tafuta mtu ambaye anafanya biashara ya nafaka, muombe awe mentor wako(Omba hata kujitolea kumsaidia kazi zake) mpaka pale ambapo utaielewa hiyo biashara vizuri. Siku ukitaka kuanza kufanya biashara rasmi, chukua robo ya hela yako (2M) anza kununua mzigo kidogo kidogo. Ukishaanza kupata wateja wa kutosha ongeza robo ya hela (Hapo utakuwa umeingiza nusu ya hela yako kwenye biashara). Nusu ya hela inayobaki itunze kama back-up capital.
Arooo 🤣🤣Mkuu, wewe juzi juzi si ulikuwa unauliza ni wapi wanachukua walinzi ili na wewe upeleke form ya kuomba kazi ya ulinzi?
Hii biashara ya ufuta umeianza lini?, kama ina faida kwa nini utake kuomba kazi ya ulinzi?. Angalia usimuingize choo cha kike mdogo wetu.
Oya mdogo wangu, hapo juu kuna watu wamekupa ushauri mzuri sana. Hiyo hela yako kwa sasa tafuta sehemu uitunze kwanza, usiingize kwenye biashara yoyote ile. Tafuta mtu ambaye anafanya biashara ya nafaka, muombe awe mentor wako(Omba hata kujitolea kumsaidia kazi zake) mpaka pale ambapo utaielewa hiyo biashara vizuri. Siku ukitaka kuanza kufanya biashara rasmi, chukua robo ya hela yako (2M) anza kununua mzigo kidogo kidogo. Ukishaanza kupata wateja wa kutosha ongeza robo ya hela (Hapo utakuwa umeingiza nusu ya hela yako kwenye biashara). Nusu ya hela inayobaki itunze kama back-up capital.
Sasa kaka upo mtwara kwani hamulimi ufuta huko?mtwara na lindi ndio mikoa yenye fursa nyingi sana za biashara kwani ndio mikoa inayokuwa na misimu mitatu ya mazao ya biashara,kuna msimu wa ufuta ambao unaanza mwezi wa tano,kuna msimu wa korosho ambao unaanza mwezi wa tisa na kuna msimu wa mbaazi hayo yote ni mazao ya biashara na watu tumetoboa kupitia mazao hayo nakushauri kama upo mtara au lindi usitoke kuja dar kwa kipindi hiki utarudi nyuma komaa kwanza hukohuko angalau uwe na kuanzaia million 15 au 20 ndio uje kupambana na biashara Dar hapo utakuwa umesimama tayari.AsanteBro mi nipo mtwara
Dogo kaomba ushauri, Mjomba unaongea mengine kabisa.Kijana mdogo wa miaka 21 kawazidi mbali sana vijana wetu hawa wanakulia mashuleni mavyuoni huko wanahitimu na wanatoka bila kitu wanakaa nyumbani kusubiri ajira pambana Sana kijana
Biashara za mazao nazan huzifaaham kk ivi wew unaijua korosh vizur Yan bei kununua unajipangia wee afu anaekuja kununua hujui anakuja kununua bei gan hili zao linawafaa wakulima tu sio wafanyabiashra na Kama mfanyabiashara ukinununua inabid uvumilie miez na miez ili uje kuuza kwa bei ya faida ufuta hiyo bei ya 3000 mpk 4000 sio kila mwakaa unawza ingia ukajichangany hela yako haiwez Rudi Tena wakulima wamekalili tiar bei huwez wew asaiv kumuamuru mkulima akuuzie wew ufuta kilo buku au buku jero hizi biashara za mazao acha tu. Mwaka Jana nimenunua karanga za million tatu mpka Leo zipo tu ndani toka mwaka Jana mwez wa nne. Wateja hakuna kwaiyo bro hizo biashara ulizotaja nazijua. VizurSasa kaka upo mtwara kwani hamulimi ufuta huko?mtwara na lindi ndio mikoa yenye fursa nyingi sana za biashara kwani ndio mikoa inayokuwa na misimu mitatu ya mazao ya biashara,kuna msimu wa ufuta ambao unaanza mwezi wa tano,kuna msimu wa korosho ambao unaanza mwezi wa tisa na kuna msimu wa mbaazi hayo yote ni mazao ya biashara na watu tumetoboa kupitia mazao hayo nakushauri kama upo mtara au lindi usitoke kuja dar kwa kipindi hiki utarudi nyuma komaa kwanza hukohuko angalau uwe na kuanzaia million 15 au 20 ndio uje kupambana na biashara Dar hapo utakuwa umesimama tayari.Asante
[emoji2][emoji2][emoji2]Nilitaka kuongea ila nikaona wacha niendelee kusoma na kweli bana nikakuta koment yako aiseeee!! Nimecheka mpk kichwa kinauma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
umeongea point sana sasa kama mtu anataka kuja uko mkoa gani wewe ili tujeMkuu tunauzia kwenye vyama vya ushirika(ghalani) kila baada ya wiki moja kama umepeleka mzigo wako wa tani moja au mbili etc hela zako zinaingia bank kwa maelezo zaidi kama upo tayari nijuze mkuu nikupe full details huku watoto wadogo wanashika hela tu sema starehe ndio zinawaharibu ila wale wajanja ndio wanakuwa na bodaboda mbili mbili kama kuna dogo mmoja mwaka jana amenunua Noah used dar kwa milioni saba na bodaboda pia anazo mbili dogo alipata kama milion 18 hvi mwaka jana.
Mchele ,maharageUnaumri gani
Mzizee huyuu hujagundua boss,Yanga inalipa vizuri.Kijana mdogo wa miaka 21 kawazidi mbali sana vijana wetu hawa wanakulia mashuleni mavyuoni huko wanahitimu na wanatoka bila kitu wanakaa nyumbani kusubiri ajira pambana Sana kijana
Tafuta frame karibu na soko, then nenda kwa wauzaji waambie wakuuzie mzigo kwa bei ya juml.Shukrani Sana but nilikuwa naomba muongozo wa biashara ya NAFAKA hio
Gunia moja unaweza kuuza kwa muda gani na bei za frame sehem hiyo ya soko ilyochangamka inaweza kuwa bei gan kwa mwezTafuta frame karibu na soko, then nenda kwa wauzaji waambie wakuuzie mzigo kwa bei ya juml.
Mi kuna mzee pale tabata shule alikuwa anauza 2800 p/kg. Lakini kwa jumla alikubali kuniuzia kwa 2650 p/kg.
Nafaka zina faida nzuri sana na haziharibiki hovyo. Ukifanikiwa kuuza 100kg kwa faida ya 150 una 15,000 tayari. Kwa product moja. Bado maharage nk
Inategemea upo mkoa gani. Kwa dar, sehemu za masokoni frame zimechangamka kwa sababu biashara inakuwa ya uhakika.Gunia moja unaweza kuuza kwa muda gani na bei za frame sehem hiyo ya soko ilyochangamka inaweza kuwa bei gan kwa mwez
Acha kumdanganya kijana wa watu.Njoo tununue ufuta lindi huku utaweka kama milioni nne tu hautokuja kujuta biashara ya mazao ni utajiri tosha amini hiki nachokwambia huku watu tunatoboa kwa ajili ya ufuta tu unanunua buku au buku jero kwa wakulima ww unakuja kuuza kuanzia 3500 mpaka 4200 kwa kilo.
Wewe acha kumpoteza huyo kijana hiyo biashara unayomuambia ni kweli Ina faida ila inatakiwa awe na mwenyeji huko wa kumsaidia. Tofauti na hilo atapoteza pesa zote maana asili ya hiyo biashara lazima atafute vijana wakwenda kutafuta mzigo madhambani huko na hapo ndio shida inapoanzia maana uaminifu ni mdogo.Mkuu nachoongea kipo serious sana aje huku lindi au aende hata mtwara maeneo wanayolima ufuta ndio utaona vijana huku wanavyotoboa maisha kwa wale wapambanaji lakini ila spoon feeding utaona kila kitu tabu tu dunia hii hauwezi kuwekeza kwenye biashara kama sio mtu wa kurisk katika upambanaji ni kitu kidogo saana narudia tena aende hata mtwara maeneo wanayolima ufuta aangali vijana huko wanavyotoboa.
Bro nimekuchek pm usisite kunitafutia I need more explanationInategemea upo mkoa gani. Kwa dar, sehemu za masokoni frame zimechangamka kwa sababu biashara inakuwa ya uhakika.
Masoko kama ya tandika,mbezi,kawe na tegeta, inatakiwa uwe unatoa mzigo mkoa mwenyewe. Coz kuna giants huko mzigo wanatoa mkoani kwa bei imenyooka kdg.
So inabidi utege kwenye soko ndogondogo kama segerea, vingunguti ndanindani, kimara nk.
Biashara ikiwa nzuri, kwa kulangua unaweza uza zaidi ya gunia kwa siku, coz itabia uwe na mchele wa aina zaidi ya 3 na ukauza kila aina zaidi ya 30+ kg.
Kama unatoa mikoani mwenyewe, inategemea kama utauza kwa jumla au rejareja, jumla utauza hata wote ulionao kwa siku moja. Rejareja utauza ata gunia 5 coz utacompete na giants kwenye mzunguko mkubwa kibiashara
Hivi nafak zipi no Bora kuanza nazo kwa huo mtaji nichanganye Aina zote kwa udogoudogo? Au kuchagua nafaka moja au mbili za kuanza nazo Kama ni mchele na maharage Basi nguvu yako yote unaelekeza hukoInategemea upo mkoa gani. Kwa dar, sehemu za masokoni frame zimechangamka kwa sababu biashara inakuwa ya uhakika.
Masoko kama ya tandika,mbezi,kawe na tegeta, inatakiwa uwe unatoa mzigo mkoa mwenyewe. Coz kuna giants huko mzigo wanatoa mkoani kwa bei imenyooka kdg.
So inabidi utege kwenye soko ndogondogo kama segerea, vingunguti ndanindani, kimara nk.
Biashara ikiwa nzuri, kwa kulangua unaweza uza zaidi ya gunia kwa siku, coz itabia uwe na mchele wa aina zaidi ya 3 na ukauza kila aina zaidi ya 30+ kg.
Kama unatoa mikoani mwenyewe, inategemea kama utauza kwa jumla au rejareja, jumla utauza hata wote ulionao kwa siku moja. Rejareja utauza ata gunia 5 coz utacompete na giants kwenye mzunguko mkubwa kibiashara
Hiyo hela usiichome yote kwenye biashara, anza na nusu kwanza upime upepoNimepambana nimepata mtaji wa million nane nahitaji kufungua duka la NAFAKA DAR lakini Mimi mi mgeni katika biashara, sijui NAFAKA gani ni za kuanza nazo ambazo zinauzika Sana hapa Dar na changamoto ya biashara hii zipoje na faida zake pia zipoje.
Mwenye uelewa plz naombeni msaada wenu tafadhali