Biashara ya ndege haiwezi kuleta faida kabla pay back period haijafika

Biashara ya ndege haiwezi kuleta faida kabla pay back period haijafika

Acha kutetea uozo...

Mbona wakati tunaletewa taarifa za faida awamu iliyopita huja hoji tuletewa pay back period..
 
Biashara ya ndege haiwezi kuleta faida kabla payback period haijafika ni vyema unapotwambia imeingiza hasara uwe unatupa na pay back period ilikua ni miaka mingapi. Na je tayari ilishafikiwa. Ila kama hiyo hasara unaikokotoa bila kutwambia payback period ilikua ni miaka mingapi hapo watanzania utawachanganya.

Mimi nadhani tungepewa hesabu nzima, tusiandikiwe tu hasara.

Tupewe pesa iliyotumika kufanya investiment ni kiasi gani kwa ndege zote.

Alafu tuambiwe kila ndege zinaingiza kiasi gani kwa mwaka.

Hiyo ndio hesabu tunayoitaka, Mimi nacho kijua na kukielewa hiyo ni long term business ambayo inatumia higher investiment. Hivyo haiwezi kuleta faida kabla haijafikia payback period.

Twambie kwanza pay back period ilikua ni ya miaka mingapi ndipo uje na hiyo hesabu ya hasara.

Ukitwambia tu hasara hatuwezi kuelewa vizuri.

Maana bado siijui payaback period

Ipo miradi mingi mikubwa ambayo ikiianza usitegemee kupata faida ndani miaka minne, it's impossible. Tuna mradi wa LNG, huo mradi payback period yake ni ndefu sana. Tusitegemee kuja kuanza kupata faida ndani ya muda mfupi. Katika Biashara kubwa lazima uwe mvumilivu.

Mimi kiukweli ningependa kusikia tu return of investiment imefikia kiasi gani basi. Hapo ningechakachua kichwa na kujua wapi tunaelekea.
Ungesoma hoja zote za cag kabla hujatoa comments,maana kwa muda uke mfupi asingeweza kusema kila kitu,ndio maana umeona yale mabuku makubwa ambayo ndio yameandikwa kila kitu
 
Biashara ya ndege haiwezi kuleta faida kabla payback period haijafika ni vyema unapotwambia imeingiza hasara uwe unatupa na pay back period ilikua ni miaka mingapi. Na je tayari ilishafikiwa. Ila kama hiyo hasara unaikokotoa bila kutwambia payback period ilikua ni miaka mingapi hapo watanzania utawachanganya.

Mimi nadhani tungepewa hesabu nzima, tusiandikiwe tu hasara.

Tupewe pesa iliyotumika kufanya investiment ni kiasi gani kwa ndege zote.

Alafu tuambiwe kila ndege zinaingiza kiasi gani kwa mwaka.

Hiyo ndio hesabu tunayoitaka, Mimi nacho kijua na kukielewa hiyo ni long term business ambayo inatumia higher investiment. Hivyo haiwezi kuleta faida kabla haijafikia payback period.

Twambie kwanza pay back period ilikua ni ya miaka mingapi ndipo uje na hiyo hesabu ya hasara.

Ukitwambia tu hasara hatuwezi kuelewa vizuri.

Maana bado siijui payaback period

Ipo miradi mingi mikubwa ambayo ikiianza usitegemee kupata faida ndani miaka minne, it's impossible. Tuna mradi wa LNG, huo mradi payback period yake ni ndefu sana. Tusitegemee kuja kuanza kupata faida ndani ya muda mfupi. Katika Biashara kubwa lazima uwe mvumilivu.

Mimi kiukweli ningependa kusikia tu return of investiment imefikia kiasi gani basi. Hapo ningechakachua kichwa na kujua wapi tunaelekea.
Hivi vitu vingine vinachekesha sana,hivi nyie wasomi uchwara mbona mnaendekeza sana njaa

Unavofanya investment kile ulichowekeza hakiwezi kurudi kwa wakati mmoja mpaka kuja kuifikia faida

Sasa unawekeza mahali badala ya kuanza kurudisha taratibu kile ulichokiwekeza ndio kwanza unazidi kutoa tena mfuko mwingine ili kuendesha kile ulichokiwekeza

Biashara yeyote yenye tija huwa inajiendesha yenyewe

Mkubali tu former boss alichemka
 
Miaka ya nyuma tuliambiwa tumepata faida na tukala na gawio. Safi. Sasa tunaambiwa tumepata hasara ni nongwa?
 
Biashara ya ndege haiwezi kuleta faida kabla payback period haijafika ni vyema unapotwambia imeingiza hasara uwe unatupa na pay back period ilikua ni miaka mingapi. Na je tayari ilishafikiwa. Ila kama hiyo hasara unaikokotoa bila kutwambia payback period ilikua ni miaka mingapi hapo watanzania utawachanganya.

Mimi nadhani tungepewa hesabu nzima, tusiandikiwe tu hasara.

Tupewe pesa iliyotumika kufanya investiment ni kiasi gani kwa ndege zote.

Alafu tuambiwe kila ndege zinaingiza kiasi gani kwa mwaka.

Hiyo ndio hesabu tunayoitaka, Mimi nacho kijua na kukielewa hiyo ni long term business ambayo inatumia higher investiment. Hivyo haiwezi kuleta faida kabla haijafikia payback period.

Twambie kwanza pay back period ilikua ni ya miaka mingapi ndipo uje na hiyo hesabu ya hasara.

Ukitwambia tu hasara hatuwezi kuelewa vizuri.

Maana bado siijui payaback period

Ipo miradi mingi mikubwa ambayo ikiianza usitegemee kupata faida ndani miaka minne, it's impossible. Tuna mradi wa LNG, huo mradi payback period yake ni ndefu sana. Tusitegemee kuja kuanza kupata faida ndani ya muda mfupi. Katika Biashara kubwa lazima uwe mvumilivu.

Mimi kiukweli ningependa kusikia tu return of investiment imefikia kiasi gani basi. Hapo ningechakachua kichwa na kujua wapi tunaelekea.
Kwa uandishi huu unaonekana ni Mchumi, lakini lazima ujue tofauti ya mchumi na muhasibu

Analysis unayotaka ni ya kichumi sio kihasibu, kwa hiyo ni kazi yako kuwaambia watu kuhusu maana ya hasara kiuchumi

Maana kuna watu wameanza kusema ndege ziuzwe, akili mbovu kabisa
 
Mkuu Break Even (kurudisha mtaji na kuanza kutengeneza faida) is one Thing..., na Kuendesha Kwa Hasara is quite another....

Uendeshaji wa Hasara ni Uendeshaji wa Hasara hata kama ndege ungepewa bure ni kwamba uendeshaji una gharama kuliko kinachoingia.... In short ukiendesha kwa hasara you will Never Break Even
 
Biashara ya ndege haiwezi kuleta faida kabla payback period haijafika ni vyema unapotwambia imeingiza hasara uwe unatupa na pay back period ilikua ni miaka mingapi. Na je tayari ilishafikiwa. Ila kama hiyo hasara unaikokotoa bila kutwambia payback period ilikua ni miaka mingapi hapo watanzania utawachanganya.

Mimi nadhani tungepewa hesabu nzima, tusiandikiwe tu hasara.

Tupewe pesa iliyotumika kufanya investiment ni kiasi gani kwa ndege zote.

Alafu tuambiwe kila ndege zinaingiza kiasi gani kwa mwaka.

Hiyo ndio hesabu tunayoitaka, Mimi nacho kijua na kukielewa hiyo ni long term business ambayo inatumia higher investiment. Hivyo haiwezi kuleta faida kabla haijafikia payback period.

Twambie kwanza pay back period ilikua ni ya miaka mingapi ndipo uje na hiyo hesabu ya hasara.

Ukitwambia tu hasara hatuwezi kuelewa vizuri.

Maana bado siijui payaback period

Ipo miradi mingi mikubwa ambayo ikiianza usitegemee kupata faida ndani miaka minne, it's impossible. Tuna mradi wa LNG, huo mradi payback period yake ni ndefu sana. Tusitegemee kuja kuanza kupata faida ndani ya muda mfupi. Katika Biashara kubwa lazima uwe mvumilivu.

Mimi kiukweli ningependa kusikia tu return of investiment imefikia kiasi gani basi. Hapo ningechakachua kichwa na kujua wapi tunaelekea.
PAYBACK PERIOD-time taken to recover the cost of an investiment,kwa hiyo ndege mmenunua nyingi ili payback period ichukue muda mrefu?kwanini tusianza na chache!
 
Wenzako wanataka ndge zikilvyonunuliwa zilete faida mwaka wa kwanza
Nani sasa maana taarifa ya hasara imetoka kwa CAG unataka kusema hana ufahamu kakurupa?acheni ushabiki mpaka kwenye mambo muhimu,huyo CAG hapo alipo kajipachika?
 
Biashara ya ndege haiwezi kuleta faida kabla payback period haijafika ni vyema unapotwambia imeingiza hasara uwe unatupa na pay back period ilikua ni miaka mingapi. Na je tayari ilishafikiwa. Ila kama hiyo hasara unaikokotoa bila kutwambia payback period ilikua ni miaka mingapi hapo watanzania utawachanganya.

Mimi nadhani tungepewa hesabu nzima, tusiandikiwe tu hasara.

Tupewe pesa iliyotumika kufanya investiment ni kiasi gani kwa ndege zote.

Alafu tuambiwe kila ndege zinaingiza kiasi gani kwa mwaka.

Hiyo ndio hesabu tunayoitaka, Mimi nacho kijua na kukielewa hiyo ni long term business ambayo inatumia higher investiment. Hivyo haiwezi kuleta faida kabla haijafikia payback period.

Twambie kwanza pay back period ilikua ni ya miaka mingapi ndipo uje na hiyo hesabu ya hasara.

Ukitwambia tu hasara hatuwezi kuelewa vizuri.

Maana bado siijui payaback period

Ipo miradi mingi mikubwa ambayo ikiianza usitegemee kupata faida ndani miaka minne, it's impossible. Tuna mradi wa LNG, huo mradi payback period yake ni ndefu sana. Tusitegemee kuja kuanza kupata faida ndani ya muda mfupi. Katika Biashara kubwa lazima uwe mvumilivu.

Mimi kiukweli ningependa kusikia tu return of investiment imefikia kiasi gani basi. Hapo ningechakachua kichwa na kujua wapi tunaelekea.
Akili kubwa sana
 
My brother you are right. Tatizo linakuja hapa, mosi the government was not transparent about the business.. Pili in any investment, before we reach at break even, angalau tutegemee decrease in loss.. Au decline loss amount, ila hii graph ni exeptional. What I see, There was mis management. Wala biashara halikuwa mbaya. Example A certain minister kuchukua ndege to madagascar, do we expect profit? No no no
 
Back
Top Bottom