Biashara ya ngono inavyofanyika baharini

Biashara ya ngono inavyofanyika baharini

Offshore Seamen

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2018
Posts
5,489
Reaction score
14,091
Biashara ya ngono imekuwa moja ya biashara kongwe tangu enzi na enzi duniani.
Tanzania tumezoea kuona biashara hii ikifanyika kwenye makasino,bar,club,kambi za uvuvi na maeneo mbalimbali ya mji.

Katika eneo la bahari ya Hindi sasa biashara hii imekuwa ikifanyika kati ya wafanyakazi wa meli zilizo eneo la Nangani na wanawake kutoka nchi kavu kwenye mitaa mbalimbali ambao hupelekwa na vijana(mabaharia) ambao hupeleka mahitaji ya vocha na vitu vingine.

Namna biashara inavyofanyika
Baharia au Beach boy utafuta wanawake na kuwapanga kuwa ana mgeni.Au huenda beach moja maarufu ambapo kuna Dada ni Dalali wa wanawake yeye anakupa wanawake kisha unampa pesa ya maji.

Malipo yao
Baada ya beach boy kumpeleka mwanamke melini na boti na mwanamke hupokelewa na mhusika. Kesho asubuhi anapo rudishwa ndiyo beach boy hudai ya udalali.Kwa usiku mmoja mwanamke anaweza akalipwa kuanzia USD 100 na kuendelea kutokana na namna atavyomwaga uno kwa mteja.Beach boy hupewa elfu 20 au Dollar 10.

Changamoto za watoa huduma na beach boy
Boti nyingi zinazoenda kupeleka huduma beach boy wengi wanalalamika kukamatwa na Police Marine kisha kutoa kidogo kitu ili waachiwe.

Nini kifanyike?
Serikali inabidi iangalie maeneo ya beach na itoe elimu ya afya ya Ukimwi kwa wahusika,kuweka mabango,semina na kugawa kondomu bure.

Wale wale wanawake wote nao wapewe elimu na kinga maana wanaingiza pesa ya kigeni.

Nimeambatanisha na audio ambayo ni kipindi cha Redio One Stereo kinachorushwa jioni nilirecord mnamo mwezi wa 4 mwaka huu.

Reference/Credit:
Radio One Stereo- Kipindi kinaitwa Uchunguzi kamili.
Audio hii hapa chini sikiliza yote.


images (6).jpeg
 

Attachments

yaani kwa usiku mmoja demu alipwe dollar mia?
hawa wanawake wa Sinza au wanatokea wapi hao mademu wa kulipwa hiyo hela?
 
Nia ni njema,kutoa taarifa kwa vyombo husika kuchukua hatua,lakini inaweza kuwa ni tangazo kwa wadada poa kwani kuna wengine inawezekana walikuwa hawaijui hii njia ya kujipatia 100 dollars per one night...
 
Mkuu unaona dollar Mia nyingi?

Halafu wanawake wote wa kigamboni unawajua?
dollar mia sio nyingi kwa mtazamo wako wewe?

kwamaana kwamba huyo mwamba akikaa kama mwezi mzima hivi anashusha mzgo atatumia sio chini ya dola 1500 hadi 2000 kwa ajili ya kuttomba tu?

haaa haa haa jiongeze chief,stori nyingi zipo tofauti sana na zinavyosimuliwa mkuu
 
dollar mia sio nyingi kwa mtazamo wako wewe?
kwamaana kwamba huyo mwamba akikaa kama mwezi mzima hivi anashusha mzgo atatumia sio chini ya dola 1500 hadi 2000 kwa ajili ya kuttomba tu?
haaa haa haa jiongeze chief,stori nyingi zipo tofauti sana na zinavyosimuliwa mkuu
Mkuu wapi amesema kwamba budget yake ya mwezi ni dollar 2000?

Lakini nikuambie tu hicho kiasi Cha pesa kutoa kumpa demu wa kiwango zinatolewa sana na unaenda kujipigia..
 
Hiyo Dollar 100 halipi mswahili anayelipa ni mfanyakazi aliyeko melini.Wengi ni wazungu,wahindi na wafilipino kutoa hiyo hawaoni tabu.
Acha tu wabongo watembee.. hiyo $ 100 mbona ndogo sanaaaaa... watu tunatoq hadi $ 500 masaa yasiyozidi matano.. hawajui nguvu ya uashrati na uzinzi.. Mungu atusaidie tu 🙂🙂
 
Acha tu wabongo watembee.. hiyo $ 100 mbona ndogo sanaaaaa... watu tunatoq hadi $ 500 masaa yasiyozidi matano.. hawajui nguvu ya uashrati na uzinzi.. Mungu atusaidie tu 🙂🙂
Inabidi waende maeneo ya Coco Beach usiku kisha wakaone wale wakina dada wakimuona mgeni dau wanalotaja.

Hao wa Kigamboni wajanja huwa wanatoka melini mpaka na USD 200- 300.
 
Back
Top Bottom