Biashara ya ngono inayofanywa mitandaoni

Biashara ya ngono inayofanywa mitandaoni

ndegemzungu

Member
Joined
Mar 10, 2019
Posts
92
Reaction score
246
Sasa hii biashara imehamia mitandaoni ukiingia Telegram kuna mpka madalali wa wa kuunganisha madem kama unahitaji mkoa wowote ule unaunganishwa mabint wadogo kabisa wanajihusisha na hii biashara tena ule mtandao pendwa unatolewa nje nje hii ni hatari dunia inaelekea tabati.

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom