Biashara ya ngono na namna inavyokomeshwa

Biashara ya ngono na namna inavyokomeshwa

Ugumu wa maisha unaoambatana na ukosekanaji wa ajira kwa mabinti, kukosa mawazo sanifu ya kibiashara pamoja na mitaji, na ugumu wa maisha unaoambatana na kupanda kwa bei za kimaisha ni miongoni mwa mambo yanayowapelekea wanawake wengi kujihusisha na biashara ya ngono ikidhaniwa kuwa ni moja ya njia rahisi ya kujipatia kipato kinachoweza kukidhi mahitaji yao.

Binafsi, nadhani kampeni zinazofanywa na viongozi jijini Dar kwa lengo la kukomesha biashara hizi kwa kuwakamata na kuharibu maeneo yao ya kazi, haiwezi kuwa tiba ya moja kwa moja. Bali ni kuhakikisha utafiti wa kudumu unafanyika juu ya namna gani wanawake hawa wanaweza kusaidiwa.

Kwanza ni kwa kuanza na tiba ya saikolojia itakayowajengea kujiamini kama wanajamii wengine na kuwatengenezea misingi ya fursa kwa kutoa mikopo itakayoambatana na masharti elekezi.
Wamehamia bagamoyo!
 
Ugumu wa maisha unaoambatana na ukosekanaji wa ajira kwa mabinti, kukosa mawazo sanifu ya kibiashara pamoja na mitaji, na ugumu wa maisha unaoambatana na kupanda kwa bei za kimaisha ni miongoni mwa mambo yanayowapelekea wanawake wengi kujihusisha na biashara ya ngono ikidhaniwa kuwa ni moja ya njia rahisi ya kujipatia kipato kinachoweza kukidhi mahitaji yao.

Binafsi, nadhani kampeni zinazofanywa na viongozi jijini Dar kwa lengo la kukomesha biashara hizi kwa kuwakamata na kuharibu maeneo yao ya kazi, haiwezi kuwa tiba ya moja kwa moja. Bali ni kuhakikisha utafiti wa kudumu unafanyika juu ya namna gani wanawake hawa wanaweza kusaidiwa.

Kwanza ni kwa kuanza na tiba ya saikolojia itakayowajengea kujiamini kama wanajamii wengine na kuwatengenezea misingi ya fursa kwa kutoa mikopo itakayoambatana na masharti elekezi.
Ila hapa nawasikitia waheshimiwa wabunge wetu tu, sijuwi watakuwa wanajivinjali wapi kama hii biashara ikiwa inapigwa vita hivi.
 
Ugumu wa maisha unaoambatana na ukosekanaji wa ajira kwa mabinti, kukosa mawazo sanifu ya kibiashara pamoja na mitaji, na ugumu wa maisha unaoambatana na kupanda kwa bei za kimaisha ni miongoni mwa mambo yanayowapelekea wanawake wengi kujihusisha na biashara ya ngono ikidhaniwa kuwa ni moja ya njia rahisi ya kujipatia kipato kinachoweza kukidhi mahitaji yao.

Binafsi, nadhani kampeni zinazofanywa na viongozi jijini Dar kwa lengo la kukomesha biashara hizi kwa kuwakamata na kuharibu maeneo yao ya kazi, haiwezi kuwa tiba ya moja kwa moja. Bali ni kuhakikisha utafiti wa kudumu unafanyika juu ya namna gani wanawake hawa wanaweza kusaidiwa.

Kwanza ni kwa kuanza na tiba ya saikolojia itakayowajengea kujiamini kama wanajamii wengine na kuwatengenezea misingi ya fursa kwa kutoa mikopo itakayoambatana na masharti elekezi.
Watengeneza gongo hawawezi acha kutengeneza iwapo wateja wenye kiu ya gongo bado wapo.

Vivyo hivyo, wateja wanaohitaji huduma za malaya, wapo na wataendelea kuwapo. Uhitaji wao ni fursa kwa wengine wanaohitaji pesa. Ni fursa tu kama ilivyo fursa ya kuvusha watu mgongoni kwenye shida za mafuriko.
Ndio maana dunia nzima wameshindwa kupambana na hiyo biashara.
 
Hapo ndo unanishindaga Dr hayaland.. unadhani maskini wote hawana akili au hawashirikishi akili? Mbona unaongea kirahis rahis mkuu

Yes mkuu Ila kujitoa ufahamu ,kujiuza ,kuwa mdangaji chanzo kikuu sio umasikini ni swala la kutoipa nafasi akili ili kuchagua njia sahihi.


Wapo wanawake wengi wametoka ktk umasikini Kwa kujishughulisha na kazi halali na kutoboa.
 
Yes mkuu Ila kujitoa ufahamu ,kujiuza ,kuwa mdangaji chanzo kikuu sio umasikini ni swala la kutoipa nafasi akili ili kuchagua njia sahihi.


Wapo wanawake wengi wametoka ktk umasikini Kwa kujishughulisha na kazi halali na kutoboa.
Ulishawah kuona mwanaume anauza kinyamborero barabaran kama wafanyavyo wanawake? Je kwa nn haitokei kwa wanaume?
 
Ugumu wa maisha unaoambatana na ukosekanaji wa ajira kwa mabinti, kukosa mawazo sanifu ya kibiashara pamoja na mitaji, na ugumu wa maisha unaoambatana na kupanda kwa bei za kimaisha ni miongoni mwa mambo yanayowapelekea wanawake wengi kujihusisha na biashara ya ngono ikidhaniwa kuwa ni moja ya njia rahisi ya kujipatia kipato kinachoweza kukidhi mahitaji yao.

Binafsi, nadhani kampeni zinazofanywa na viongozi jijini Dar kwa lengo la kukomesha biashara hizi kwa kuwakamata na kuharibu maeneo yao ya kazi, haiwezi kuwa tiba ya moja kwa moja. Bali ni kuhakikisha utafiti wa kudumu unafanyika juu ya namna gani wanawake hawa wanaweza kusaidiwa.

Kwanza ni kwa kuanza na tiba ya saikolojia itakayowajengea kujiamini kama wanajamii wengine na kuwatengenezea misingi ya fursa kwa kutoa mikopo itakayoambatana na masharti elekezi.
Wakati mnafikiria kuwakomesha wanayojiuza barabara vitoto vya 2005 vishaingia digital
 
Kuna wanawake mabosi wakubwa ktk taasisi mbalimbali na bado wanadanga. Usione kila siku wanatupostia picha kwenye mandege, wanaenda kudanga huko. So kudanga ni asili ya mtu na tamaa za kuwa na maisha ya juu. The same applies kwa wanaume, wapo wengi tu ambao ni mchicha mwiba sababu ya tamaa tu za maisha ya juu.
 
apo ni zaidi ya umaskini

ni matokeo ya laana zinazotembea kwa vizazi na vizazi.

zile amri za mungu zina maana sana tuzifuate
 
Ugumu wa maisha unaoambatana na ukosekanaji wa ajira kwa mabinti, kukosa mawazo sanifu ya kibiashara pamoja na mitaji, na ugumu wa maisha unaoambatana na kupanda kwa bei za kimaisha ni miongoni mwa mambo yanayowapelekea wanawake wengi kujihusisha na biashara ya ngono ikidhaniwa kuwa ni moja ya njia rahisi ya kujipatia kipato kinachoweza kukidhi mahitaji yao.

Binafsi, nadhani kampeni zinazofanywa na viongozi jijini Dar kwa lengo la kukomesha biashara hizi kwa kuwakamata na kuharibu maeneo yao ya kazi, haiwezi kuwa tiba ya moja kwa moja. Bali ni kuhakikisha utafiti wa kudumu unafanyika juu ya namna gani wanawake hawa wanaweza kusaidiwa.

Kwanza ni kwa kuanza na tiba ya saikolojia itakayowajengea kujiamini kama wanajamii wengine na kuwatengenezea misingi ya fursa kwa kutoa mikopo itakayoambatana na masharti elekezi.
Unatakaaa ndoa zetuu zifee wale ndio wanalinda ndoa zetuu mkuu mpakaleoo
 
Back
Top Bottom