DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Unajua kuuza mwili kunaendNa na limited options katika maisha.. na ndio maskini ndio wahanga
Inaonekana wateja wamekua Wengi haiwezekani lo!
Wamehamia bagamoyo!Ugumu wa maisha unaoambatana na ukosekanaji wa ajira kwa mabinti, kukosa mawazo sanifu ya kibiashara pamoja na mitaji, na ugumu wa maisha unaoambatana na kupanda kwa bei za kimaisha ni miongoni mwa mambo yanayowapelekea wanawake wengi kujihusisha na biashara ya ngono ikidhaniwa kuwa ni moja ya njia rahisi ya kujipatia kipato kinachoweza kukidhi mahitaji yao.
Binafsi, nadhani kampeni zinazofanywa na viongozi jijini Dar kwa lengo la kukomesha biashara hizi kwa kuwakamata na kuharibu maeneo yao ya kazi, haiwezi kuwa tiba ya moja kwa moja. Bali ni kuhakikisha utafiti wa kudumu unafanyika juu ya namna gani wanawake hawa wanaweza kusaidiwa.
Kwanza ni kwa kuanza na tiba ya saikolojia itakayowajengea kujiamini kama wanajamii wengine na kuwatengenezea misingi ya fursa kwa kutoa mikopo itakayoambatana na masharti elekezi.
Hapo ndo unanishindaga Dr hayaland.. unadhani maskini wote hawana akili au hawashirikishi akili? Mbona unaongea kirahis rahis mkuuUmasikini unaendana na kuruhusu matumizi makubwa ya mwili na hisia na kusahau kuishikilikisha akili.
SureOnce malaya is always malaya,, hata ukimfungulia supermarket atauza k tu,,
Ila hapa nawasikitia waheshimiwa wabunge wetu tu, sijuwi watakuwa wanajivinjali wapi kama hii biashara ikiwa inapigwa vita hivi.Ugumu wa maisha unaoambatana na ukosekanaji wa ajira kwa mabinti, kukosa mawazo sanifu ya kibiashara pamoja na mitaji, na ugumu wa maisha unaoambatana na kupanda kwa bei za kimaisha ni miongoni mwa mambo yanayowapelekea wanawake wengi kujihusisha na biashara ya ngono ikidhaniwa kuwa ni moja ya njia rahisi ya kujipatia kipato kinachoweza kukidhi mahitaji yao.
Binafsi, nadhani kampeni zinazofanywa na viongozi jijini Dar kwa lengo la kukomesha biashara hizi kwa kuwakamata na kuharibu maeneo yao ya kazi, haiwezi kuwa tiba ya moja kwa moja. Bali ni kuhakikisha utafiti wa kudumu unafanyika juu ya namna gani wanawake hawa wanaweza kusaidiwa.
Kwanza ni kwa kuanza na tiba ya saikolojia itakayowajengea kujiamini kama wanajamii wengine na kuwatengenezea misingi ya fursa kwa kutoa mikopo itakayoambatana na masharti elekezi.
Naomba connection pleaseWamechelewa.
Sasa hivi malaya hawachezi mbali na teknolojia, tunarequest kama bolt zigo unalotaka wewe.
Watengeneza gongo hawawezi acha kutengeneza iwapo wateja wenye kiu ya gongo bado wapo.Ugumu wa maisha unaoambatana na ukosekanaji wa ajira kwa mabinti, kukosa mawazo sanifu ya kibiashara pamoja na mitaji, na ugumu wa maisha unaoambatana na kupanda kwa bei za kimaisha ni miongoni mwa mambo yanayowapelekea wanawake wengi kujihusisha na biashara ya ngono ikidhaniwa kuwa ni moja ya njia rahisi ya kujipatia kipato kinachoweza kukidhi mahitaji yao.
Binafsi, nadhani kampeni zinazofanywa na viongozi jijini Dar kwa lengo la kukomesha biashara hizi kwa kuwakamata na kuharibu maeneo yao ya kazi, haiwezi kuwa tiba ya moja kwa moja. Bali ni kuhakikisha utafiti wa kudumu unafanyika juu ya namna gani wanawake hawa wanaweza kusaidiwa.
Kwanza ni kwa kuanza na tiba ya saikolojia itakayowajengea kujiamini kama wanajamii wengine na kuwatengenezea misingi ya fursa kwa kutoa mikopo itakayoambatana na masharti elekezi.
Hapo ndo unanishindaga Dr hayaland.. unadhani maskini wote hawana akili au hawashirikishi akili? Mbona unaongea kirahis rahis mkuu
Ulishawah kuona mwanaume anauza kinyamborero barabaran kama wafanyavyo wanawake? Je kwa nn haitokei kwa wanaume?Yes mkuu Ila kujitoa ufahamu ,kujiuza ,kuwa mdangaji chanzo kikuu sio umasikini ni swala la kutoipa nafasi akili ili kuchagua njia sahihi.
Wapo wanawake wengi wametoka ktk umasikini Kwa kujishughulisha na kazi halali na kutoboa.
Wakati mnafikiria kuwakomesha wanayojiuza barabara vitoto vya 2005 vishaingia digitalUgumu wa maisha unaoambatana na ukosekanaji wa ajira kwa mabinti, kukosa mawazo sanifu ya kibiashara pamoja na mitaji, na ugumu wa maisha unaoambatana na kupanda kwa bei za kimaisha ni miongoni mwa mambo yanayowapelekea wanawake wengi kujihusisha na biashara ya ngono ikidhaniwa kuwa ni moja ya njia rahisi ya kujipatia kipato kinachoweza kukidhi mahitaji yao.
Binafsi, nadhani kampeni zinazofanywa na viongozi jijini Dar kwa lengo la kukomesha biashara hizi kwa kuwakamata na kuharibu maeneo yao ya kazi, haiwezi kuwa tiba ya moja kwa moja. Bali ni kuhakikisha utafiti wa kudumu unafanyika juu ya namna gani wanawake hawa wanaweza kusaidiwa.
Kwanza ni kwa kuanza na tiba ya saikolojia itakayowajengea kujiamini kama wanajamii wengine na kuwatengenezea misingi ya fursa kwa kutoa mikopo itakayoambatana na masharti elekezi.
Ulishawah kuona mwanaume anauza kinyamborero barabaran kama wafanyavyo wanawake? Je kwa nn haitokei kwa wanaume?
Hiyo biashara ipo toka enzi...Inaonekana wateja wamekua Wengi haiwezekani lo!
God forbid
Hiyo biashara inasukumwa na majini mahaba. Ni vita hiyo hawawezi shida kwa show off zile.Once malaya is always malaya,, hata ukimfungulia supermarket atauza k tu,,
Hii ni kweli kabsa brazaapo ni zaidi ya umaskini
ni matokeo ya laana zinazotembea kwa vizazi na vizazi.
zile amri za mungu zina maana sana tuzifuate
Unatakaaa ndoa zetuu zifee wale ndio wanalinda ndoa zetuu mkuu mpakaleooUgumu wa maisha unaoambatana na ukosekanaji wa ajira kwa mabinti, kukosa mawazo sanifu ya kibiashara pamoja na mitaji, na ugumu wa maisha unaoambatana na kupanda kwa bei za kimaisha ni miongoni mwa mambo yanayowapelekea wanawake wengi kujihusisha na biashara ya ngono ikidhaniwa kuwa ni moja ya njia rahisi ya kujipatia kipato kinachoweza kukidhi mahitaji yao.
Binafsi, nadhani kampeni zinazofanywa na viongozi jijini Dar kwa lengo la kukomesha biashara hizi kwa kuwakamata na kuharibu maeneo yao ya kazi, haiwezi kuwa tiba ya moja kwa moja. Bali ni kuhakikisha utafiti wa kudumu unafanyika juu ya namna gani wanawake hawa wanaweza kusaidiwa.
Kwanza ni kwa kuanza na tiba ya saikolojia itakayowajengea kujiamini kama wanajamii wengine na kuwatengenezea misingi ya fursa kwa kutoa mikopo itakayoambatana na masharti elekezi.