Biashara ya ngozi ya mamba

Biashara ya ngozi ya mamba

SHIGOTTO

Senior Member
Joined
Sep 4, 2018
Posts
156
Reaction score
282
Ndugu zangu! nafikiria kuanza biashara ya kuuza ngozi ya mamba nchi za nje! Mimi ni mwenyeji wa kutoka wilaya ya Ludewa ziwa nyasa. Mwezi wa kumi na mbilli nilikwenda likizo ziwani na kushuhudia vifo vya watu zaidi ya watatu wakiliwa na mamba hapo kwetu.

Nilifanya utafiti mdogo na kuona kuwa idadi ya mamba imeongezeka sana kiasi cha kuwaona kama samaki maana ni wengi mno, wala sio wa kutafuta. Likaniijia wazo hili la kufanya biashara ya ngozi ya mamba, je kuna mwenye kujua kuhusu soko huko nje na bei zake ili niweze kuchangia kuwapunguza hawa jamaa (mamba)

Nakaribisha maoni
 
Swali lilitakiwa kua je,TZ hua inatoa vibali vya kuvua hao mamba?
Ndugu zangu! nafikiria kuanza biashara ya kuuza ngozi ya mamba nchi za nje! mimi ni mwenyeji wa kutoka wilaya ya Ludewa ziwa nyasa. Mwezi wa kumi na mbilli nilikwenda likizo ziwani na kushuhudia vifo vya watu zaidi ya watatu wakiliwa na mamba hapo kwetu. Nilifanya utafiti mdogo na kuona kuwa idadi ya mamba imeongezeka sana kiasi cha kuwaona kama samaki maana ni wengi mno, wala siyo wakutafuta. Likaniijia wazo hili la kufanya biashara ya ngozi ya mamba, je kuna mwenye kujuwa kuhusu soko huko nje na bei zake ili niweze kuchangia kuwapunguza hawa jamaa (mamba)

Nakaribisha maoni

dodge
 
Back
Top Bottom