Biashara ya ngozi

Babaanyi

Senior Member
Joined
Aug 10, 2012
Posts
114
Reaction score
43
Wadau samahani, naomba kujua wapi au nani anaweza kujua kama kuna uhitaji wa ngozi za mbuzi, ninashehena ya kutosha sana, kama kuna mdau anajua lolote plz call 0652036191
 
Wadau samahani, naomba kujua wapi au nani anaweza kujua kama kuna uhitaji wa ngozi za mbuzi, ninashehena ya kutosha sana, kama kuna mdau anajua lolote plz call 0652036191

Takutafuta zipo tani ngapi? Takupm
 
Ni check kwa simu yangu, lakini tunahitaji vibali fulani...?
 
vipi wadau ninauwezo wa kukusanya ngozi za mbuzi kwa wingi ila soko sijajua nijulisheni namba yangu ni 0624077498 au 0764103725
 
Kwa wenyeji wa kusini huku mpaka ngozi inaliwa soup [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Wadau samahani, naomba kujua wapi au nani anaweza kujua kama kuna uhitaji wa ngozi za mbuzi, ninashehena ya kutosha sana, kama kuna mdau anajua lolote plz call 0652036191
Uko wapi

"mwanaume mashine"
 
Hata Mimi nina uwezo kukusanya ngozi nyingi kwani kuna mdogo wangu anajishughulisha na ufugaji huko mwanza amekuwa akiniuliza na kuniomba tutafute solo, shida sijajua pa kuanzia nimejaribu kusoma kitabu kimoja kinaeleza namna kuandaa ngozi yenye ubora umakini unahitajika.
 
Pia Nina interest ya kuwa na kiwanda kidogo cha viatu hasa sendo za kimasai nafuta mwenyewe udhoefu tufungue kiwanda kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…