Biashara ya nguo kwa mtaji wa Tsh. milioni 1

Ndio hulo mkuu shimoni na underground ni sehemu moja tu.....lugha ndo tofauti alafu kule kuna maeneo na majina mfano underground toronto etc ndio maana nikasema utembee tembee ili uangalie kote usiende sehemu moja tu
Basi niliShapatafuta sana huko shimoni kumbe hua nafika bila kujua nipo shimoni
 
Yes mkuu ndio hukohuko sema unakuwa unaulizia sana bei ujue duka gani wanauza kwa bei ya chini zaidi pia ukitembea utajua hukohuko chini kuna vimtaa hv nso kama kule underground ya toronto etc
Basi niliShapatafuta sana huko shimoni kumbe hua nafika bila kujua nipo shimoni
 
Very wise comment and it seems you know very well about psychology.
You have touched me because sometimes people accuse me because of being quite especially in whatsapp groups and they think I am too much proud,discrimination but it is quite different

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Ndo maana ukajiita mbu wa dengue.

Uongo?
 
Ndo maana ukajiita mbu wa dengue.

Uongo?
Hapana mkuu hilo jina halina uhusiano wowote,wakati huo najiunga Jf habar ya mbu wa dengu ndio ilikuwa inatrend nikalichagua hilo jina yaani ni sawasawa sasa hivi mtu ajiite covid 19 au vaccination.
 
duuu mzee ubalikiwe sana
 
Uzi mzuri Sana
Aliyeleta mada vipi mrejesho kea sasa.
Na je, utajaribu wa kuanzisha goli ikoje nikimaanisha kwa serikali ( TRA)
 
Uzi mzuri Sana
Aliyeleta mada vipi mrejesho kea sasa.
Na je, utajaribu wa kuanzisha goli ikoje nikimaanisha kwa serikali ( TRA)
Nunua mitumba kauze minadani kama mtaji wako ni mdogo. Kufungua goli ni gharama kwenye fremu na TRA
 
napenda kuuza chupi asante umenipa moyo sana
 
shukuran
 
Mkuu najua biashara inalipa na siwezi kuajiriwa sikuzote ila nakusanya nguvu kiuchumi na kuendelea kujifunza ili nifanye kitu kizuri zaidi
Za muda, una ujuzi nina mtaji,
Tuunge nguvu tupambane pamoja. Ikiwezekana kuchana Mabalo.,
 
Hii ndio JF sasa.
Hongera
 
m nakushauri ruka mkoan tembea na minada au hapa apa kila day kuna minada unaamba ambaa nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…