Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

Much impressed
 
Nakazia hapa tupate new updates
 
Daa Safi Sana nataka niwe naleta mzigo kariakoo kutoka Uganda je itanilipa na kwa kuanzia nianze na Bei gan ya chini na tra boder vip ntafanyaje?
 
Vitu bei chee kule ila muwe makini tu ile kkoo yao ya kule kuna wezi hatari,,,afu mtu unaporwa hapo wengine wanaangalia tu,,,!
 
Ama kweli jf n home of grear thinkers
Thread nmeipenda sana, imenipa hamasa ya kutafuta mtaji,
Naamin ipo siku na mm ntafanya biashara kubwa, sjutii kua jf kwa kweli
 
Jamii forum ukiingia sana kama huna ata Mia ya mtaji asee utachakachua tu akili mawazo shuhuda zipo kibao yaan humu unaeza adi badili wazo la biashara kutokana na mawazo ya ma legendary walotutangulia humu jamii forum mbarikiwe sana sana sisi vijana wadogo Wendell 21 years tunaona Chagall jamii forum instead of instagram asee tunafaidika sana
 
Tunatafuta watu ambao watakuwa mawakala wa bidhaa yetu ya barakoa

Tuna kiwanda cha kuzalisha barakoa za upasuaji" surgical masks/ medical masks"

Hivyo kama unataka kuwekeza katika biashara hii na kuwa wakala wetu wasiliana nasi 0672883050
 

Money stunna hii kitu bado ipo hivi hivi, kwa muda wako tunaomba utusaidie kutupa update ya mabadiliko haswa upande wa bei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…