Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

Nina kibanda kidogo nataka nianze biashara ya vipodozi 500k inatosha kuanzia??
 
Nina kibanda kidogo nataka nianze biashara ya vipodozi 500k inatosha kuanzia??

Nakuelekeza Kama mzoefu

500,000 ni ndogo sana kwa sababu vipodozi vipo aina nyingi na kila mtu Ana chaguo lake


Ila unaweza unaanza na local products

Kwa mfano
Tressa
Parachute
Moulding gels
Na creams Za Bei rahisi zisizidi 5,000 kWa jumla

Kutokea hapo utaandika Vitu vinavyouliziwa sana na utakua unaongeza kidogo kidogo..


Ukihitaji vipodozi kutoka SA na Nigeria
Kindly DM
 
Nakuelekeza Kama mzoefu

500,000 ni ndogo sana kwa sababu vipodozi vipo aina nyingi na kila mtu Ana chaguo lake


Ila unaweza unaanza na local products

Kwa mfano
Tressa
Parachute
Moulding gels
Na creams Za Bei rahisi zisizidi 5,000 kWa jumla

Kutokea hapo utaandika Vitu vinavyouliziwa sana na utakua unaongeza kidogo kidogo..


Ukihitaji vipodozi kutoka SA na Nigeria
Kindly DM
nina milioni moja na nusu inatosha boss?
 
Nakuelekeza Kama mzoefu

500,000 ni ndogo sana kwa sababu vipodozi vipo aina nyingi na kila mtu Ana chaguo lake


Ila unaweza unaanza na local products

Kwa mfano
Tressa
Parachute
Moulding gels
Na creams Za Bei rahisi zisizidi 5,000 kWa jumla

Kutokea hapo utaandika Vitu vinavyouliziwa sana na utakua unaongeza kidogo kidogo..


Ukihitaji vipodozi kutoka SA na Nigeria
Kindly DM
Mtaji uwe kiasi gani kwa duka lenye muonekano mzuri
 
Hivi inawezekana vipi mzigo upitie kwetu bandarini, watulipe Kodi, wachome mafuta mpaka Kampala halafu bidhaa ziwe bei nafuu Uganda kuliko Tanzania, CCM mmeua nchi wapumbavu wakubwa nyie
 
Nakuelekeza Kama mzoefu

500,000 ni ndogo sana kwa sababu vipodozi vipo aina nyingi na kila mtu Ana chaguo lake


Ila unaweza unaanza na local products

Kwa mfano
Tressa
Parachute
Moulding gels
Na creams Za Bei rahisi zisizidi 5,000 kWa jumla

Kutokea hapo utaandika Vitu vinavyouliziwa sana na utakua unaongeza kidogo kidogo..


Ukihitaji vipodozi kutoka SA na Nigeria
Kindly DM
Nashukuru maelezo yako basi ntajitahidi ifike 1m
 
Back
Top Bottom